Sasa atampelekaje wakati anasusa kula????Mpeleke chuo cha Afya akasome clinical medicine, then atasoma degree ya udaktari akiwa ame-relax naww ume-relax,kwa sasa A'level naona kama kupoteza muda(najua ninachosema, japo mimi hii sikuambiwa ila nilikuja kugundua baadae sana kwamba nimepoteza time sana, maisha ni mafupi mno)
Ushaambiwa hataki anasusa kula Amalia siku mzima anataka akasome PCB,sasa na hiyo CO si ndo atalia mwaka mzimasikuuona ulazima wa kwenda Advance,,,dogo 2 yake iligeuka 3 ndoto ikayeyuka mwisho wa siku akarudi diploma ya CO na anajuta kuupoteza mda wake Advance,,co lazima kwenda moja kwa moja CO,kama anajiamini hatopoteza mda,mtafutie private zipo nyingi tu
Kwa sasa anaendeshwa na mahaba ya kutaka kuonekana ameenda form five, ila baadae ndo ataweza kutambua ni kiasi gani alikua empty setSasa atampelekaje wakati anasusa kula????
Inaruhusiwa kabisa. Kuna uwezekano wa kwenda wizarani na ukahamishwa juu kwa juu ila kama utaripoti mpaka shule hua wanasema mpaka ukae miezi sita.nimekuelewa,kwahiyo kuhama shule inaruhusiwa??? mana tulikua hatuna uhakika hapo.
Kuhama aende wapi,kijana mtafutie ujuzi kwa kwenda kusoma Diploma moja kwa moja..huu ni ushauri tu,na wewe usije ukasusa kula na kuanza kulia,maana kawaida dogo hufanya mambo alowahi kufanya kaka/dada akenimekuelewa,kwahiyo kuhama shule inaruhusiwa??? mana tulikua hatuna uhakika hapo.
Ni kweli, Kama mtu una pesa za kutosha usipitie A level ruka diplomaA level ni kwa ajili ya kupunguza vijana, mimi binafsi sishauri mtu kupitia A level
Kuna vyuo vingi sana vya diploma, piga zako diploma then angalia mambo mengine
Kwahiyo akisusa ndo ndoto zake zitatimia,na nyie wakubwa ndo mnalea watoto kizembe zembe,Leo hii anaweza tishia kunywa sumu akawaletea matatizo...anasusa unamchekea tuu..we jamaahajasusa,hana appetite kwasababu ya stress. Anahisi ndoto zake zinafifia.
pesa za kutosha tena?Ni kweli, Kama mtu una pesa za kutosha usipitie A level ruka diploma
Yea kwa sababu degree mtu aliyepitia diploma anakua na chansi kubwa ya kukosa mkopo, ambao familia zisizo na pesa za kutosha huuhutaji ili kupunguza makali.pesa za kutosha tena?
kulia ni dalili ya kuzidiwa maji mwilini tu,hata akilia vipi hawezi kuibadili shule kwa machozi,apo ili aone issue iko serious,hatakiwi kufutwa machozi,ashauliwe kistaarabu tu,kuwa "hii ndo selikari yetu,unatakiwa utumie akili ulioitumia kufaulu ili ikuletee manufaa baadae" wamuache alie tu,kula najua hatomaliza wiki atakua kajitambua tayariUshaambiwa hataki anasusa kula Amalia siku mzima anataka akasome PCB,sasa na hiyo CO si ndo atalia mwaka mzima
Ndiyo mkuu...tena kama anataka kuwa daktari diploma ndo njia nzuri ya kupitia kuliko hata form six...form six wanaobahatika kwenda kusoma course za afya wanakuwaga wachache mnoasante mkuu,akimaliza hiyo diploma si ataweza tu kuendelea na chuo kama kawaida au hairuhusiwi?
Kama hakupangiwa hiyo combination bhasi sifa za kusoma hiyo combination hana.Tatizo vijana wengi wanapenda sifa za kusoma advance afu combination pcb..habari humu ndani,nina mdogo wangu kamaliza four ila kapangiwa shule na comby ambayo hakuchagua. Na cha ajabu hata hiyo comby aliyopangiwa kwenye hiyo shule aliyopangiwa haipo.
Je inawezekana kuhama??? from government to government(school)
comby ya PCB imebalance vibaya mno na ndo anayoitaka.
yani hali,ye ni kulia tu mda ote.
Msaada please,ushauri wenu,what to do?
na kama kuhama haiwezekani please naomba mnitajie shule za private sayansi zenye ada nafuu.
ukumbuke nako gpa ni 3 sasa mshaurini tu diploma aje alie...akimaliza diploma ataweza kuendelea na chuo kama kawaida au?
Mwambie kitaa tupo kibao ambao ndoto zetu zimepotea, ila bado tunadunda vizuri. Mwambie ndoto za maisha za Mwisho kabisa ni kujua jinsi unavyoweza kutafuta na kupata fedha.hajasusa,hana appetite kwasababu ya stress. Anahisi ndoto zake zinafifia.
Kuhama combie ni rahisi as long hyo shule ina PCB...ana switch tu hapo hapo shuleInawezekana kuhama Lakini kubadilisha combination itakuwa ngumu!!
Kwa mawazo yangu
long process.....Kama shule aliyochaguliwa ina PCB sio kesi akifika atawaambia wamtambadilisha but kama atakidhi vigezo vya matokeo yake ya form 4 so make sure anaenda na result slip.
Na kama shule haina PCB wahini kutuma maombi wizarani abadilishiwe shule but hapa kuna hitaji refa sio unapeleka kibarua chako mimi kuna mzee mstaafu alinimalizia msala hapo nasema hivi coz kuna watu nilikutana nao shuleni walishindwa kubadilishiwa licha ya maombi kutumwa wizarani.