asante mkuu...anatakiwakuwa na choices kadhaa sasa hatuvijui vyuo vta computer
Mwambie aende DIT HAKUNA PENGINE ZAIDI YA HAPO LA MUST ILA SIIJUI.nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani...yeye hataki kwenda advance..
anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vip na ipi ni nzuri zaidi...
pia je mwanafunzi anaetokea o level anaweza pata mkopo?
ipi course nzuri ya computer?
tunatanguliza shukran
asante mkuu..naskia kuna DIT,,,ATC,,,MUSTMwambie aende DIT HAKUNA PENGINE ZAIDI YA HAPO LA MUST ILA SIIJUI.
Diploma unapata muhimu ufaulu vizuri uombe mapema basi, aende DIT ni nzuri Sasa UNATAKA MUST kijijini wakati hiyo ni tech.asante mkuu..naskia kuna DIT,,,ATC,,,MUST
je anapata mkopo???
je course ipi ya computer nzuri zaidi?
Oya HIVI DIT SIKU HIZI KUNA MAJI YA KUOGA AU BADO WANATUMIA KANDORO😀DIT pekee
sawa mkuu...Diploma unapata muhimu ufaulu vizuri uombe mapema basi, aende DIT ni nzuri Sasa UNATAKA MUST kijijini wakati hiyo ni tech.
Arusha tech ni nzuri Kwa WATU WA archtecture
aliyetoka form 4 kutafuta diploma anapata mkopo??DIT pekee
anapata mkopo?Mwambie akasome instrumentation hatojutia maisha yake.
Mkuu cozi za diploma Kwa compyuta ni IT,ICT, INFORMATION SYSTEM, DATABASE ADMINISTRATOR, NETWORKING, TELECOMUNICATION LAKINI ZOTE ZINAINGILIANA HAKUNA HATA MMOJA HAPO JUU ASIYEJUA COMPUTER.sawa mkuu...
unajua haya mambo hatuyajui..wanasema computer imegawanyika vipengele...ila dogo yeye anapenda mambo ya computer...kipengele kipi kina soko zaidi?
na enzi zetu tulkkuwa tunajaza choices zaidi ya moja..sijajua sasahiv wanachagua vip.....nimshauri ajaze vip?
Mkuu cozi za diploma Kwa compyuta ni IT,ICT, INFORMATION SYSTEM, DATABASE ADMINISTRATOR, NETWORKING, TELECOMUNICATION LAKINI ZOTE ZINAINGILIANA HAKUNA HATA MMOJA HAPO JUU ASIYEJUA COMPUTER.
UKISOMA COMOUTER BONGO UNA TOFAUTI NA MEDICAL DOCTOR ASIYE NA SPECIALIZATION.
AKIFIKA LEVEL ANAHITAJI DEGREE ASOME COMPUTER SCIENCE NDO INACOVER VITU BINGI.
ALIYESOMA CS ANAWEZA APPLY POPOTE KIAJIRA.
Kama anataka kuwa mnyama kwenye practical ATC, kama anataka kumeza prac kidogoNina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..
Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.
Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?
ipi course nzuri ya computer?
Tunatanguliza shukrani
mkuu wewe kwa computer angelikuwa dogo lako au mwanao kwa uzoefu wako na kulingana na soko...asomee course ipi ya computer na mkopo anapata?? pls jibu hayoKama anataka kuwa mnyama kwenye practical ATC, kama anataka kumeza prac kidogo
na theory sana aende DIT na kama anataka GPA safi na afaulu kiulaini aende MUST
Computer science tu hamna kingine japo ningekuwa mimi saivi ningeenda uhasibu, make huku uwe engineer, daktari nk. mhasibu lazima akukalishe. Labda kama ana maidea ya kutengeneza kampuni yake sio kuajiriwa au aajiriwe sio bongo.mkuu wewe kwa computer angelikuwa dogo lako au mwanao kwa uzoefu wako na kulingana na soko...asomee course ipi ya computer na mkopo anapata?? pls jibu hayo