Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

Nkosilorch

Member
Joined
May 4, 2024
Posts
23
Reaction score
25
Habari za muda huu Wana jamiiforum.

Aisee Kuna ishu ya dogo langu mmoja nashindwa kujua namsaidiaje huyu dogo alipata kazi serikalini mwezi December then akapeleka vyeti kwa ajili ya verification.

Sasa mwezi huo huo December alifanya usaili kwenye taasisi ya umma inayoajiri yenyewe kwenye mchakato mzima.

Sasa ishu ipo hivi dogo amepata kazi kwenye taasisi inayoajiri yenyewe na ameshasaini mkataba wa kuanza kazi rasmi sasa wakati anatarajia kuripoti hiyo taasisi ya kwanza imeshakamilisha mchakato wa ajira na dogo kapigiwa simu akakamilishe taratibu za ajira.

Sasa ishu ipo hivi kwenye hiyo taasisi ya kwanza ambayo verification ya vyeti tayari wamemwambia check namba yake tayari wakati hajasaini offer letter Wala kitu chochote na dogo anataka akaanze kazi taasisi ambayo ameshasaini offer letter ambapo maslahi yake ni mazuri sana.

Sasa hapa dogo yupo dilemma haelewi anafanyaje hofu yake akienda kuripoti kwenye hii taasisi aliyosaini offer letter hiyo check namba haiwezi kumletea ishu maana ile taasisi aliyopangiwa na utumishi salary ipo chini sana.

Kwa wajuzi wa mambo tunaomba usharudi dogo afanyaje hapa ili badae hii ishu isije ikamletea shida maana mi mwenyewe sjajua namshaurije hapa. Karibuni wadau kwa maoni, asanteni sana
 
Most definitely wewe ndiye dogo mwenyewe.

Kwa ushauri mandhari hujachukua/kupokea mshahara kwa hiyo check number, angalia sehemu utakayoona ina maslahi kwako uende huko. Wengine watakuja kukushauri zaidi.

Swali: hivi check number siku hizi zinatolewa haraka hivyo? Ninavyo fahamu mpaka kipindi cha uangalizi (probation period) kipite, mara nyingi ni miezi sita(6)
 
Most definitely wewe ndiye dogo mwenyewe.

Kwa ushauri mandhari hujachukua/kupokea mshahara kwa hiyo check number, angalia sehemu utakayoona ina maslahi kwako uende huko. Wengine watakuja kukushauri zaidi.

Swali: hivi check number siku hizi zinatolewa haraka hivyo? Ninavyo fahamu mpaka kipindi cha uangalizi (probation period) kipite, mara nyingi ni miezi sita(6)
Sasa hvi ni mwezi tu umepata hiyo check number
 
Most definitely wewe ndiye dogo mwenyewe.

Kwa ushauri mandhari hujachukua/kupokea mshahara kwa hiyo check number, angalia sehemu utakayoona ina maslahi kwako uende huko. Wengine watakuja kukushauri zaidi.

Swali: hivi check number siku hizi zinatolewa haraka hivyo? Ninavyo fahamu mpaka kipindi cha uangalizi (probation period) kipite, mara nyingi ni miezi sita(6)
Mi mwenyewe nmeshangaa verification ya vyeti tu na check namba tayari sasa akienda kwenye hiyo taasisi hiyo check namba atapata nani
 
Nenda kwa hr wako wa kwanza uongee naye but huongee kwa herufi kubwa maana akikaza huyo huchomoki hapo then urudi kule ambako ww mwenyew unakupenda ukamuelekeze hr kuhusu hyo issue naye atakupa ABC za kufanya
 
Sijakuelewa Mkuu.

Ina maana hiyo Taasisi ambako amesaini hiyo offer wao hawana au hawatumii check number?
 
Kabla ya yote.
Aende kwenye mshahara mkubwa duniani hatujaja kufurahisha watu.

Huko kwenye check number sijui ndio nini aende awaeleze ukweli. Wakati nasubiria nilipata kazi sehemu nyingine naomba mnifute tu, ajira zinagombaniwa kuna mtu atamweka mjomba wake huko.

Achaneni na kufanya kazi sehemu zenye maslahi madogo for the sake ya job security.

Kaseme ukweli na ukweli wako utakuweka huru.
 
Back
Top Bottom