Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!


asante sana jmwakikali,nashukuru sana

ushauri wenu counts alot
 
Last edited by a moderator:
Moyo wako ndao wenye jibu la uhakika! km unahic unampenda we jifungie bomu kiunoni,umri wala siyo issue,issue ni anakupenda na ww unampenda?Kwani unajua tofauti ya umri kati ya Jakaya kikwete na Salma kikwete!?tofauti yao inaweza kufika 20yrs. lkn tofauti yao ya miaka huwezi kuiona coz wanapendana!
 
Kama unahisi anaweza kuwa mwenzi mwema katika maisha, just go for him. Kumbuka relationships grow with time. Hizo differences ktk mtizamo wa maisha zipo kwa watu wote but mwisho wa siku wanaishi na kufurahia life. Age sio kigezo pekee
 
Kama unahisi anaweza kuwa mwenzi mwema katika maisha, just go for him. Kumbuka relationships grow with time. Hizo differences ktk mtizamo wa maisha zipo kwa watu wote but mwisho wa siku wanaishi na kufurahia life. Age sio kigezo pekee
victormwita nashukuru kwa mawazo wako......
 
Eli79 my best friend asante sana.......

btn mbona sijakuona CC ila ukimuona my wii Lady doctor na pacha wake Passion Lady
waambie nawatafuta kwa udi na uvumba....

nimekuja wii wangu, mwenzio hayo yanayo kusibu ndiyo ninayaishi mwenzio.......... Nipo kwenye age kama yako ila shemejio kanipita 9yrs........! Uzuri wake anajua sana kucare ila sasa ananifanya kama mwanae kila kitu nifanye chini ya amri yake, hivi karibuni alikuwa anataka kuniachisha kazi nikashtaki kwa wazee tukayamaliza!!!!! Inaniboa sana hiyo tabia ila kikubwa nami nimemjulia wapi pa kumchesha akili so, hatushindwani na tunapendana sana!
Uamuzi ni wako my wii kama mnapendana umri si chochote ndani ya mapenzi kikubwa ni kuheshimiana!
 

my wii yaani nimekutafuta wewe basi tu.....

kumbe we are on the same boat LOL!!!!!!!
 
Eli79 my best friend asante sana.......

btn mbona sijakuona CC ila ukimuona my wii Lady doctor na pacha wake Passion Lady
waambie nawatafuta kwa udi na uvumba....

Ur welcome best wangu!....
kumbe huyo jamaa ndo alikufanya unikatae e! hahaaa
Baada ya kuona kuwa best yangu(wewe) keshapata anaesuuza nafsi yake inabidi nijitahidi nisije nikamkosa Passion Lady, ndo maana hunioni kule...ila huyu kiumbe kama wewe..hashikiki..teeh!(joke)
 
Last edited by a moderator:
If u love him madam go ahead....I remembr my primary ticha once told me for a rshp to last u shud at least hav ur ages differ.....And in most cases a man shud b the 1 with mo ages......wat matters z love..
 
Olewa haraka. Hamna ushauri mwingine. Muda mwingine ukiwa na swala la kuweka kwa uzi chagua lugha unayoifahamu vyema. Kama ni kiswahili sawa, kama english ok, kama kichaga sawa. Hii habari ya kuchanganya lugha naona kama ushamba fulani vile... au utoto wa kidato cha pili. Acha hiyo tabia ni mbaya na inakera. Hakuna atakaye kudharau/kukusifu kwa ajili ya kutumia lugha fulani. Tumia hata 'kikara'. Iwe tu kwa usahihi.
 
Don worry Ten ni ndogo sana mi nimempita wakwangu na 8 lakini mapenzi yako safi sana mpaka rafiki zake wanamuonea wivu ana mashaka watamuibia,kula life ila nenda kwa step coz wanaume wa maofisini wahuni sana nowdays.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
we mathcom nikoje!!!!!!!!!!

swali;je kwenye swala la kuniambia fanya hiviusifanye hivi is it OKAY?
we ulikuwa ulikuwa una mcontroll mkeo some how just because of age!!!!

Cha kuangalia ni merits ya kile anachosema DO au DON'T DO. Binafsi naona kama anatimiza ile role ya mume kuwa kiongozi, ila inaonekana wewe unachukulia kama anaku-force au kuku-command vile. If it makes sense, then take it positively
 
Cha kuangalia ni merits ya kile anachosema DO au DON'T DO. Binafsi naona kama anatimiza ile role ya mume kuwa kiongozi, ila inaonekana wewe unachukulia kama anaku-force au kuku-command vile. If it makes sense, then take it positively

Yaani hizo DO and DONTS unadhani zina madhara basi.......

ni ile tu naona kama anataka kubadilisha lifestyle yangu.....
 

asante kwa ushauri,next time nitajaribu kuacha huo ushamba

uliouongelea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yaani hizo DO and DONTS unadhani zina madhara basi.......

ni ile tu naona kama anataka kubadilisha lifestyle yangu.....

Tena nampa big up kabisa! lifestyle yako lazima ibadilike ili mwendane. Kifupi anachofanya ni kuku-bold ili uwe mke mwema kadri ya matakwa yake, uwe mama mzuri wa watoto wake, mke anaye-behave au anaye-act sawa sawa na mapenzi ya mumewe.

Believe me or not, kila mwanaume anavile ambayo angependa mke wake awe, yaani afanye hiki lakini asifanye kile! awe na tabia hii lakini siyo ile, etc.
 

hahaaa mito umenichekeshaje hapo kwenye RED.

ASANTE kwa ushauri wako,umeongea jambo la msingi sana
 
Last edited by a moderator:
asante miss strong,mama namshirikisha hii kitu
cos n mtu Open na huwa tunaongea mambo mengi......

My sis ye majibu yake cmple and clear unaeza hata ulie,bora nishee tu na nyie
wana MMU wenzangu ila ye ntamwambia tu kama kumpa taarifa.......

Its okey mamii.........wajua wakat mwingine waweza kutaka ushaur kwa mtu kana kwamba lile si jambo lako,labda unahadithia kama rafik yako limemtokea na amekuja kwako kuomba ushaur sasa we hujui ufanyeje ndo umeamua kumshirikisha yeye ili mpate kumsaidia rafiki.
Inategemea unaishi vip na mama lakin usipende kumshirikisha mama au hata baba mambo ya mapenz kwa steps za awali kabisa.
Nakutakia mafanikio
 
Kha..kwa style na comments za watu humu basi mie wangu ndo either anamaliza form six ama yuko form five somewhere!!! dah..i have a loong way to wait huh!!!!!

Haya waalimu wote snowhite, gfsonwin, Evelyn Salt anzeni kunchaguia mmoja wa wanafunzi wenu wa kuolewa na Mentor...:noidea:
 
Last edited by a moderator:
hahaaa mito umenichekeshaje hapo kwenye RED.

ASANTE kwa ushauri wako,umeongea jambo la msingi sana

Nakwambia ukweli mdogo wangu, tena from the experience of various relationships and my own experience, mi mke wangu namzidi miaka 8 and I had to act (kumbadilisha lifestyle) kama huyo mchumba wako ili kumbadilisha, coz I have lived longer and have seen more than hers. Leo hii tuko level moja hadi mwenyewe ananiambia "....ila ulinisaidia kuacha kitu fulani japo ulikuwa unaniuzi kunikataza". Unajua Heaven on earth mtu mzima (anayejitambua) akishakaa tu na kijana kwa muda fulani, tayari kuna vitu atavinote ambavyo anajua unavifanya/unavipenda kwa sababu tu ya utoto/ujana and not otherwise, so he wishes you could change to become good mum.

so we badili tu lifestyle ili mwendane bhana....unless anakukataza usile mayai, kuku, samaki etc hapo ndo itakuwa issue!!! teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…