Does size matters?

Does size matters?

mkuu NIMPENDENANI ina maana hata 1inch unaweza kuitumia kum satisfy mwanamke???, we real need help frm girls

Kaka uwezi kupata jibu sahihi kwani wanawake wametofautiana ANATOMY ZAO. kuna watakaosema yes na No. tofauti ni kuwa kuna wanawake wanye long canal na wenye short canal. Mwenye short canal akiingiliwa na mwenye long penis huwa anaisi maumivu na distrurbance wala tendo la ndoa hana hamu nalo. ila mwenye long canal akiingiliwa na mwenye short penis ni vigumu kuwa satisfied hivyo anakuwa hajaridhika. hivyo fanya assessment kwa mkeo ana long or short canal ni rahisi kumtambua.
 
mkuu Mkudisingo bunduki itakuwa muhimu vitani kama ina bullets
 
Kaka uwezi kupata jibu sahihi kwani wanawake wametofautiana ANATOMY ZAO. kuna watakaosema yes na No. tofauti ni kuwa kuna wanawake wanye long canal na wenye short canal. Mwenye short canal akiingiliwa na mwenye long penis huwa anaisi maumivu na distrurbance wala tendo la ndoa hana hamu nalo. ila mwenye long canal akiingiliwa na mwenye short penis ni vigumu kuwa satisfied hivyo anakuwa hajaridhika. hivyo fanya assessment kwa mkeo ana long or short canal ni rahisi kumtambua.

Mkuu weka wazi atamtambuaje?
 
mkuu weka wazi atamtambuaje?

1. Mwanamke mfupi anauwezekano mkubwa wa kuwa na short canal na ni kinyume warefu ambao canal zao ni ndefu.
2. Ukimwingilia mkeo je unahisi kugusa ukuta?. Nina maana ya mbele na sio pembeni (virginal wall)?
 
Mkuu Jambazi hizo ni typing errors tu embu nisaidie kurekebisha maana nahic ww ni mkali mwenzangu kwenye kimombo, usiniabishe jembe lako
 
After all wanawake nao size zao zinatofautiana. Kwahiyo kupata jibu moja la NO au YES itakuwa vigumu.
That means it matters. Big kwa mwingine inaweza ikawa small n.k. so inategemea na mtu mwenyewe. Huwezi pata jibu la which size is normal. Kwa sababu kila mtu ana normal yake. Ni sawa na kuuliza hivi kunywa bia normal ni chupa ngapi?
 
That means it matters. Big kwa mwingine inaweza ikawa small n.k. so inategemea na mtu mwenyewe. Huwezi pata jibu la which size is normal. Kwa sababu kila mtu ana normal yake. Ni sawa na kuuliza hivi kunywa bia normal ni chupa ngapi?

It is true. Hata wanawake wengi humu wanaochangia hawana mawazo yanatofautiana. Wengine wanapenda size kubwa na wengine size kubwa wanasema ni kuumizana vizazi. Kwahiyo nao wako tofauti kwa saizi ya maumbile. Ila kwa ujumla walio wengi wanapendelea saizi kubwa.In conclusion, the size matters!
 
hakuna mwanamke asiyependa size kubwa..ila when its come to satisfication size doesn't matter just the matter of creativity kwa mwanaume kumfkisha mwanamke
 
Vijana wa KITANGANYIKA wamewekeza kwenye nyege na kubanduana ,wakati wageni wamewekeza kwenye rasilimali zetu. Tukimaliza kubanduana tunashangazwa na umaskini wetu.....AJABU....
 
Back
Top Bottom