Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Hapa ndo hua siwaelewi chadema, hapa wanategemea umati mkubwa kumpokea na kumsindikiza Lissu kuchukua fomu, same person anaehojiwa na kudai maambukizi ya corona kuwa makubwa na kuua watu wengi nchini. Na sijaona katika taarifa ya mleta uzi popote akiwatadharisha/kuwaonya watakao mpokea mtu wao kuchukua tahadhari na hatua stahiki za kujilinda wakati wa mapokezi. Nini ni nini, tunatakiwa kumuamini nani kati ya wanaodai corona haipo na wanafanya mambo yao as usual au wanaotuaminisha kuwa corona ipo na inaua ila wanafanya mambo yao kama wasio amini uwepo wa corona nchini?
Mgombea urais chadema jitafakari, unauza mechi aidha kwa kujua au kutokujua
Acha blah blah...Naona sindano imekuingia hasa
 
Ww ni msemaji wa tume? Sio vibaya pia Molemo akitolea ufafanuzi kama wamehakikishiwa kukuta ofisi ikiwa wazi.
Mkuu hv una mwamini kweli huyo mtu?? Huyo ni bia yangu ujue ..ratiba iko hvyo wala hiyo sikukuu haiwezi kuvuluga ratiba za NEC ...mpuuze tu huyo bia yangu
 
Police bado hawajatoa tamko kwamba wagombea waende peke yao sababu ya corona?

Pia saa nane nane ofisi zisije zikafungwa kusingizia kwamba ni Jmosi nusu siku ama ni public holiday.

Maana nchi hii kila hila yawezekana.

Go Lissu goooo...Rais wa wanyonge
 
Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?

Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .

Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto

Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,

Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
Sijamsikia akidai kuwatetea wanyonge lakini wanyonge ni wale tu waliofanywa hivyo na Magufuli, Lissu anatetea Watanzania wote ikiwa pamoja na wewe unayeunga mkono juhudi ili tu upate uteuzi usiositahili.
 
nice advice
Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
 
Hahaaa mtapata kazi sana mwaka huu kwa sababu lissu Ni mropokaji
Lissu hawezi kutofautisha maneno Kati ya kuongea na press,hadhara,bungeni au mahakamani yeye anarusha tu
Wiki ya kwanza tu ya kampeni mtajuta kumchagua lissu,mtamkumbuka Nyalandu

Hatuna chochote cha kumkumbuka Nyalandu, ila hatutaki kujikuta kwenye mazingira waliyoko ccm leo, kwamba hawana uwezo wowote wa kumkatalia rais mambo yasiyofaa, ama kumtaka atekeleze yenye tija na sio atatakayo tu.
 
Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Neno zuri kabisa. Chadema waongeze watumishi katika kitengo cha habari cha chama kwa kuweka vijana mahiri na wazoefu.
Watoe hata fursa za kujitolea (mradi wawape posho ya kujikimu) kwa vijana wengi kadri iwezekenavyo maana wapo vijana wengi wapenzi wa Chadema mtaani ambao awamu hii imewakatili ajira.
Kipindi hiki idara ya habari no muhimu sana hasa kwa vile vyombo vya habari vina maelekezo ya kuwabania. Na tovuti iongezewe uchangamfu kuwa vibe
 
Umegundua hilo leo? Mbona yuko hivyo muda wote. Nyie jipangeni kufuta kinyesi atachokuwa anakunya kwenye mikutano mna mfuata nyuma kusafisha.
Mdomo wake unahalisha sana.

Nipe tofauti ya Magufuli na Lisu kwenye matumizi ya mdomo. Kama Magufuli kaweza kuwa rais, hata Lisu ataweza maana mdomo haumzuii, ila hatutaki kuwa watetezi wa kauli zisizichujwa vizuri. Hii inatutofautisha na ccm, wao hawana uwezo wa kukumea au kuonya mwenendo wa kiongozi wao, lakini sisi tunaweza.
 
Back
Top Bottom