Hakuna nchi wanasiasa hawahusiki kuamua mji flani uwe jijiSiku hizi wanasiasa ndio wanaamua mji flani uwe jiji, kama maamuzi haya yangekuwepo enzi ya Mwalimu ama Mwinyi basi Mwanza ingekuwa jiji tangu miaka ya 70
Even Dar is not a city, Mji wa hovyo ule japo kwa nchi yetu ndio angalau angalau. Kwa mimi kama Tanga, mbeya, arusha ni majiji, basi dodoma inastahili mno.Tusifanye mambo kwa kukurupuka. Nimezunguka miji yote nchini pia nchini kadhaa za Afrika ikiwemo SOUTH AFRICA. Tanzania hatuna mji wenye hadhi ya jiji. Labda Dar es Salaam japo nako kuna changamoto nyingi zinazotakiwa kurekebishwa. Dodoma bado sana ila tutafika. Halmashauri ya Manispaa kwa sasa ijikite kuupanga mji.
Nakubaliana na wewe ila mchakato unaanzia kwa technical staffs (wataalam wa serikali) hata kama utakuwa influenced na wanasiasa ila mwisho wa siku taratibu zote zinafuata na mwisho inapewa hadhi ya jiji....kwa mchakato wa sasa unavyopelekwa faster nadhani kuna miji hapa ingekuwa majiji tangu Mwaka 1982Hakuna nchi wanasiasa hawahusiki kuamua mji flani uwe jiji
Buku sabaaa!!!Makamanda......