Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,911
Moshi pakubwa mkuu
Moshi pakubwa mkuu
Majiji yalitakiwa yabaki matatu tu Dar live, Mwanza rocks na Arusha kitu cha Arusha. Mengine ni matakataka na sasa imeleta tabia kila mahala watu wanashindana eti kwetu liwe jiji nalo. Huu ni upuuzi na ingewezekana tusingetangaza jiji lingine hadi 2025 walau. Tumiji twa hovyo eti ndo iwe majiji, na ndo maana jamaa wa everton waliita Dar "kijiji", sasa kama ni kijiji unafikiliaje vieneo vingine vya ajabu ajabu?Tusifanye mambo kwa kukurupuka. Nimezunguka miji yote nchini pia nchini kadhaa za Afrika ikiwemo SOUTH AFRICA. Tanzania hatuna mji wenye hadhi ya jiji. Labda Dar es Salaam japo nako kuna changamoto nyingi zinazotakiwa kurekebishwa. Dodoma bado sana ila tutafika. Halmashauri ya Manispaa kwa sasa ijikite kuupanga mji.
Pale nikianza Kutembea kwa Miguu kutoka KCMC hadi Mbuyuni Moshi napo Padogo sanaMoshi pakubwa mkuu
Jamaa wa Everton wepi? Lete source K wewe lile ni Gazeti/jarida ndo liliandika na wala Siyo EvertonMajiji yalitakiwa yabaki matatu tu Dar live, Mwanza rocks na Arusha kitu cha Arusha. Mengine ni matakataka na sasa imeleta tabia kila mahala watu wanashindana eti kwetu liwe jiji nalo. Huu ni upuuzi na ingewezekana tusingetangaza jiji lingine hadi 2025 walau. Tumiji twa hovyo eti ndo iwe majiji, na ndo maana jamaa wa everton waliita Dar "kijiji", sasa kama ni kijiji unafikiliaje vieneo vingine vya ajabu ajabu?
Tanga nalo ni Jiji lakini hakuna cha maana, Dodoma bado ni mji mdogo sana bora hata mji wa Moshi unastahili kuwa Jiji lakini siyo Dodoma.
Kama imekidhi vigezo na taratibu zimfuatwa kwa mijibu wa sheria ya mipangomiji ya mwaka 2007 wapewe hadhi hiyo. Wanapinga labda wasema sheria na vigezo vyetu vina mapungufu, lakini wajue mipangomiji hata kama inaongozwa za falsafa ila mazingira ya nchi au mji husika yanachangia utekeezaji wake. Kwahiyo kutaka majiji ya Tanzania yawe sawa na London, Johannesburg na maengine ya duniani, sio sahihi.Unatumaje vigezo vya SA?Tunavyo vigezo vyetu mkuu ndio vinavyotumika kufanya maamuzi!
Siyo kweli kwamba Dodoma ni mji, Dodoma ni manispaaHivi hadhi ya Jiji ni nini hasa? Mfano wikipedia wanasema, "Marianna is a city in Jackson County, Florida, United States. The population was 6,230 at the 2000 census." Je ni nini kimefanya Marianna yenye watu Elfu sita kuitwa Jiji wakati Dodoma yenye watu 410,956 kuwa mji.
Hivi tunavyosema Mbeya jiji mawazo yako ni kwamba mpaka mwakaleli ni jiji? Dodoma ikiwa jiji unafikiri mpaka kongwa itakuwa jiji? Si kweli tunapotokaMkuu kama umezunguka nchi zote hizo, utakubaliana na mimi kuwa si Tanzania peke yake yenye majiji madogo. Mfano ni Jiji la Mzuzu nchini Malawi. Mzuzu ni city japo ukubwa wake huenda hauifikii Mbeya. Tofauti ya Mbeya na mzuzu ni kwamba mzuzu imepangwa vizuri kuliko Mbeya. Mbeya is just a big slum.
Pakubwa kiaje yaani?Moshi pakubwa mkuu
Ninazungumzia Mbeya mji na si Mbeya wilaya au mkoa, na pia ninazungumzia Mzuzu mji na si Zaidi ya hapo. Naomba uelewe point yangu.Hivi tunavyosema Mbeya jiji mawazo yako ni kwamba mpaka mwakaleli ni jiji? Dodoma ikiwa jiji unafikiri mpaka kongwa itakuwa jiji? Si kweli tunapotoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kila mkoa una hospitali rufaa.
Sawa
Acha ukabilaTanga nalo ni Jiji lakini hakuna cha maana, Dodoma bado ni mji mdogo sana bora hata mji wa Moshi unastahili kuwa Jiji lakini siyo Dodoma.
Moshi pakubwa mkuu
Moshi haifikii Dodoma acha ushabikiTanga nalo ni Jiji lakini hakuna cha maana, Dodoma bado ni mji mdogo sana bora hata mji wa Moshi unastahili kuwa Jiji lakini siyo Dodoma.