Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,362
- Thread starter
- #41
Amehamia ccm tangu 2020Yuko wapi Mdee
Amehamia ccm tangu 2020Yuko wapi Mdee
Vielelezo ni muhimu sana ili kuweka kumbukumbu sawaHahaha Mkuu....
Na wasio fuata hivyo vyama vyenu mnawaweka kundi gani? Au mtu akiwa kinyume na itikadi za kisiasa za kuunga juhudi za vyama vyenu mnamuweka ktk makundi mabaya?Ile taarifa yake ya utafiti wa kina iliyowahi kutolewa, bado inasimama mpaka leo:
CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana. Na wangekuwa wanapima uwezo wa akili ya mtu, hakika taarifa ingebadilika kidogo, na kuwa CHADEMA inaungwa mkono zaidi na watu wenye akili, wakweli wa nafsi na wasio wanafiki.
CCM inaungwa mkono na watu wajinga na wazee. Nafikiri wangeenda ndani zaidi, taarifa ingebadilika kidogo na kuwa CCM inaungwa mkono zaidi na watu wenye akili ndogo, wanafiki, wabinafsi na mafisadi.
Anayeiunga mkono CCM,
- akiwa ana akili, basi atakuwa mtu mnafiki au mbinafsi anayeona maslahi yake anayafikia kiurahisi kwa kuwa mnafiki.
- Asipokuwa mnafiki, unakuta ni mtu mwenyr akili ndogo.
- Kama ana akili, siyo fisadi, basi atakuwa mpigania tumbo lake.
Nina hakika hapo Dodoma, wakitafutwa wanawake wasomi, walionyoka, wakweli wa nafsi na wenye akili kubwa, watapatikana kwenye humo ukumbini. CCM inacheza na wanawake wa kutushiwa Tshirt, kanga na kilo za chumvi na sukari.
We huna chama kwani ?Na wasio fuata hivyo vyama vyenu mnawaweka kundi gani? Au mtu akiwa kinyume na itikadi za kisiasa za kuunga juhudi za vyama vyenu mnamuweka ktk makundi mabaya?
Siasa ni upuuzi
HakikaNdo naanza kupata picha ni kwa nini CCM wanataka Mbowe aachie uenyekiti! Yale mapopoma ya CCM yanapitia huu uzi kwa juu juu huku mavi yakiwagonga chupini
Wapi kasema hivyo? leta ushahidiKiufupi Uchaguzi wa 2025 utakuwa moto kuanzia kura za maoni CCM hadi Uchaguzi kamili wa Vyama Vingi
Mtemi Chenge na wenzake wanaodaiwa kuporwa Majimbo na Shujaa wanarudi kwa kasi akiwemo Stephen Maselle, Dr Mwakyembe nk...nk
Freeman Mbowe ameliamsha Dude dadeki 🐼
Mlale Unono 😀😀🔥
Unatafuta kulogwa, unawalinganisha kina Zito Kabwela na BAWACHA,Tuweke tu Itikadi pembeni na tuseme Ukweli BAWACHA ni Taasisi Bora kabisa miongoni mwa Taasisi za Wanawake nchini
Nakumbuka Shujaa Maguful alijitwalia wabunge 19 kutoka Bawacha ndio hawa Akina Halima James Mdee...
Ndumba za Mshana Jr zitanilinda😂Unatafuta kulogwa, unawalinganisha kina Zito Kabwela na BAWACHA,
Mtake radhi upesi, kabla hajaenda Kigoma kwenye ile nyumba yake iliyoungua moto,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mkutano moja wa Mwal. C.Mwakasege ni sawa na mikitano 10 kibaraka 🐒Tuweke tu Itikadi pembeni na tuseme Ukweli BAWACHA ni Taasisi Bora kabisa miongoni mwa Taasisi za Wanawake nchini
Nakumbuka Shujaa Maguful alijitwalia wabunge 19 kutoka Bawacha ndio hawa Akina Halima James Mdee...