Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini imemuachia aliyekuwa Rais wa Chama cha walimu (CWT) Gratius Mukoba bila kumfikisha mahakamani.
Kamanda wa Takukuru mkoa wa Dodoma Emma Kuhanga amesema Mukoba hakupelekwa mahakamani kama ilivyotakiwa.
"Hapana hatujampeleka mahakamani, tulishamuachia,....ni hivyo kwamba mahakamani hakupelekwa," amesema Kuhanga
Mwishoni mwa wiki Takukuru ikimkamata Mukoba kwa madai ya kujihusisha na ugawaji wa rushwa kwa wajumbe na alitarajia kufikishwa mahakamani leo.
Alipoulizwa iwapo Rais huyo wa zamani wa CWT ataitwa tena ama taasisi yake imeona hana hatia, Kamanda Kuhangwa amesema "wewe elewa kuwa hatujampeleka mahakamani lakini tumemwachia,"
Chanzo; Mwananchi
Kamanda wa Takukuru mkoa wa Dodoma Emma Kuhanga amesema Mukoba hakupelekwa mahakamani kama ilivyotakiwa.
"Hapana hatujampeleka mahakamani, tulishamuachia,....ni hivyo kwamba mahakamani hakupelekwa," amesema Kuhanga
Mwishoni mwa wiki Takukuru ikimkamata Mukoba kwa madai ya kujihusisha na ugawaji wa rushwa kwa wajumbe na alitarajia kufikishwa mahakamani leo.
Alipoulizwa iwapo Rais huyo wa zamani wa CWT ataitwa tena ama taasisi yake imeona hana hatia, Kamanda Kuhangwa amesema "wewe elewa kuwa hatujampeleka mahakamani lakini tumemwachia,"
Chanzo; Mwananchi