real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
DODOMA: Serikali imesema walimu wa sanaa watakaohamishwa kutoka shule za Sekondari kwenda kufundisha Shule za Msingi ni wale waliokuwa wanafundisha Shule za msingi awali kabla ya kujiendeleza
Kutokana na sababu hiyo hakutakuwa na haja ya kuwapa mafunzo mapya ya namna ya kufundsha wanafunzi wa shule za msingi
Pia watakaohamishwa watapelekwa kwenye shule za msingi zilizopo kwenye kata moja na shule ya Sekondari waliyokuwa wanafundisha na hivyo hakutakuwa na gharama za uhamisho
Kutokana na sababu hiyo hakutakuwa na haja ya kuwapa mafunzo mapya ya namna ya kufundsha wanafunzi wa shule za msingi
Pia watakaohamishwa watapelekwa kwenye shule za msingi zilizopo kwenye kata moja na shule ya Sekondari waliyokuwa wanafundisha na hivyo hakutakuwa na gharama za uhamisho