DODOMA: Serikali yataja sifa za walimu wa sekondari watakaorudishwa kufundisha shule za msingi

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
DODOMA: Serikali imesema walimu wa sanaa watakaohamishwa kutoka shule za Sekondari kwenda kufundisha Shule za Msingi ni wale waliokuwa wanafundisha Shule za msingi awali kabla ya kujiendeleza

Kutokana na sababu hiyo hakutakuwa na haja ya kuwapa mafunzo mapya ya namna ya kufundsha wanafunzi wa shule za msingi

Pia watakaohamishwa watapelekwa kwenye shule za msingi zilizopo kwenye kata moja na shule ya Sekondari waliyokuwa wanafundisha na hivyo hakutakuwa na gharama za uhamisho

 
DODOMA: Serikali imesema walimu wa sanaa watakaohamishwa kutoka shule za Sekondari kwenda kufundisha Shule za Msingi ni wale waliokuwa wanafundisha Shule za msingi awali kabla ya kujiendeleza

Kutokana na sababu hiyo hakutakuwa na haja ya kuwapa mafunzo mapya ya namna ya kufundsha wanafunzi wa shule za msingi

Pia watakaohamishwa watapelekwa kwenye shule za msingi zilizopo kwenye kata moja na shule ya Sekondari waliyokuwa wanafundisha na hivyo hakutakuwa na gharama za uhamisho


Maelezo hayatoshelezi. Ukifanya uhamisho ndani ya kata hutaweza tatua tatizo kwa sababu walimu wengi wa arts wako mjini ambako sec ni yingi. Vijijini watabaki na upungufu tu.
 
DODOMA: Serikali imesema walimu wa sanaa watakaohamishwa kutoka shule za Sekondari kwenda kufundisha Shule za Msingi ni wale waliokuwa wanafundisha Shule za msingi awali kabla ya kujiendeleza

Kutokana na sababu hiyo hakutakuwa na haja ya kuwapa mafunzo mapya ya namna ya kufundsha wanafunzi wa shule za msingi

Pia watakaohamishwa watapelekwa kwenye shule za msingi zilizopo kwenye kata moja na shule ya Sekondari waliyokuwa wanafundisha na hivyo hakutakuwa na gharama za uhamisho


Kinachofanyika huko shule wanahakikisha kila Mwalimu anapata vipindi 24 kwa wiki . Kama walimu watazidi katika hiyo shule walimu wanaondolewa kwenda msingi
 
Ni dhahiri serikali ilikuwa haija jipanga kwenye hili. Ni sawa na ile issue ya uhakiki kila wakiamka walileta uhakiki wa aina tofauti kwa watu wale wale. Hapa naona ubaguzi halisi walioanza primary wakajivuta hadi secondari ndo wanatakiwa warudi tena na wenzao wabaki huko masekondari. Naona kuna kukatishana tamaa-matokeo yake mmmmhhhhhhhh...
Serikali ijipange upya na kuwe na win win situation au sivyo kwenda primary itaonekana na idhabu.
 
Maelezo hayatoshelezi. Ukifanya uhamisho ndani ya kata hutaweza tatua tatizo kwa sababu walimu wengi wa arts wako mjini ambako sec ni yingi. Vijijini watabaki na upungufu tu.
Nchi hii ya ajabu sana. kinachosemwa leo na utekelezaji ukianza utashangaa vitakuwa vitu 2 tofauti. Ngoja tusubiri muda uongee
 
HIVI HAKUNAGA WIZARA INGINE YA MAWAZIRI KUFANYIA MAZOEZI TOFAUTI NA WIZARA YA ELIMU
Nadhani hamna hii wizara ndo ya kila mtu kijifunzia utendaji ndo maana kila siku elimu yetu haioigi hatua kama nchi za wenzetu.
 
Back
Top Bottom