haa haa huko aliko atakuwa anatamani angekuwa mkuu wa mkoa wa dodoma piabashite yupo?
hii muvi aanze kuuawa stering ndiyo itakuwa pwMubashara kutoka Ukumbi wa Chimwaga na kupitia hapa JF tunakuletea kinachojiri...
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wameshaingia kwenye ukumbi wa Chimwaga. Yupo Katibu Mkuu Kiongozi, Waziri wa Utumishi, Mh. Angeka Kairuki, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge la JMT, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Waziri Mkuu wa JMT, Makamu wa Rais na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameshaketi meza kuu.
Kwa ufupi Serikali yote ipo Chimwaga.
Rais Magufuli ameshawasili na wimbo wa Taifa umeimbwa.
Mama Samia Suluhu ameanza kuwasalimia wanafunzi wa UDOM.
Spika wa Bunge la JMT naye anasema maneno machache.
Anasema jinsi chuo kilivyoanza na mchango wake katika kukisimamisha chuo hiko.
Viongozi wote wanatambulishwa kwa wageni. Wako watu kutoka Baraza la Mitihani pia.
Hivi sasa mkuu wa mkoa wa Dodoma anatoa neno la ukaribisho kwa mh rais na wageni wote waliofika katika tukio hili
Some sort of lack of confidence....Kuna tishio la usalama kwani? Au ni basi tu ni utaratibu mpya wa kuzuia watu kutumia simu'
Bila kusahau kuwa pia cm zote zimeamriwa kuzimwa. I guess he/ she is writing under the influence of hunger!Yaani unathubutu kuandika huku Mheshimiwa raisi anaropoka? Kweli Uhuru umezidi
Kwanini mkuu? Funguka tu sema vile unavyoiona hali kwani hakuna namna tena.Kweli unafiki hauna aibu...nimeamini
Kama ulipotezea pale utakionawaliopoteza vyeti je vinaweza kuonekana hapo
kwani umeambiwa makonda hana vyeti?Makonda atakuepo?
kwani umeambiwa makonda hana vyeti?
Nimekubali....Hyo ni ripoti ni invalid mpk cheti cha bashite kitolewe