Dodoma pekee ndio kuna Mamlaka hii, Mikoa mingine hamna

Dodoma pekee ndio kuna Mamlaka hii, Mikoa mingine hamna

Attraction

Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Nimekutana na viliio vya baadhi ya wakazi waliokuwa nje kidogo na mji wa Dom wakilalamikia CDA CAPITAL DEVELOPMENT AUTHORITY kupima viwanja vyao na kuwapokonya ardhii. Unaambiwa wafanyakaz wa CDA wanaviwanja sana na ni matajiri hata ukipita nje ya ofisi zao utaweza gundua hilo.nikajiuliza je hii CDA mikoa mingine IPO ? Tusaidiane
 
CDA tokea ianzishwe hadi leo sijaona ufanisi wake...

bora hii asasi ifutwe... kuliko kuwepo pasipo na tija.
 
Mikoa mingine itaendelea kwa bahati mbaya...
 
Back
Top Bottom