Dodoma ni kutamu jamani

Na umuch know wote huo hujui kuandika Kiswahili?

Kimala, mala mbili, kalibu na msikiti, loundabout......what a fvck is this?
Ungekuwa dame unaniandikia hivi hapo hapo ni total disqualification na namba nafuta.
Dumb, deaf, blind
Moron, idiot.
Sorry Malafyale.
 
Dogo ni mpumbavu sana, hajui hata kutafsiri kilichoandikwa kwenye bango "Feel at home" na "Enjoy 5 star hotel experience"
Literally zina maana moja. Kwamba hapo sio nyumbani/sio 5 star ila utajisikia kama upo hadhi ya nyumbani/5 star.
Achana naye huyo.
 
 

Attachments

  • 20230721_120945.jpg
    820.4 KB · Views: 17
  • 20230721_120751.jpg
    621.8 KB · Views: 23
Dodoma kutamu nimekaa miaka minne hakika hata rangi ya ngozi yangu ilibadilika ni sehemu ambayo mda wowote naweza kurudi kuishi bila kusita.
 
Dodoma kutamu nimekaa miaka minne hakika hata rangi ya ngozi yangu ilibadilika ni sehemu ambayo mda wowote naweza kurudi kuishi bila kusita.
Nani anataka kutimuliwa na vumbi la Dodoma?

Halafu asubuhi unakwenda kuoga, unapaka sabuni povu halitoki!!

Ndiyo maana hata yule ombaomba Matonya alikuwa kila alirudishwa Dodoma na Yusuf Makamba, baada ya wiki abarudi tena Dar
 
Dodoma ya sasa ni moto mkuu, siyo kama ya zamani
 
Nani anataka kutimuliwa na vumbi la Dodoma?

Halafu asubuhi unakwenda kuoga, unapaka sabuni povu halitoki!!

Ndiyo maana hata yule ombaomba Matonya alikuwa kila alirudishwa Dodoma na Yusuf Makamba, baada ya wiki abarudi tena Dar
😆😆Ebu tutajie hizo barabara za vumbi ndani ya Dodoma.Dodoma ukwame wapi kila sehemu lami tupu.Hakuna Jiji linalopendelewa na Serikali kwenye upande wa mtandao mpana wa barabara za lami kama Dodoma
 
Hajitambui huyo
 
We upinde nini ? , Unaeandika vizuri umenizidi nini boya wewe pita vile acha shobo kwa wanaume utaliwa bure
 
Na wake zao tunawakaza huku week nzima. Weekend wakija wanachovya kidogo wanasepa. Jumatatu tu babe anakuchek.
Kuna wewe jamaa unakaa Dom, mkeo anafanyia kazi Lugalo (mjeda) analiwa huku kinyama tena kule kule karibu na kwako Kimara.
Hio ni akili ya mwanamke sio wote
 
Ebu tutajie hizo barabara za vumbi ndani ya Dodoma.Dodoma ukwame wapi kila sehemu lami tupu.Hakuna Jiji linalopendelewa na Serikali kwenye upande wa mtandao mpana wa barabara za lami kama Dodoma
Huyo hajitambui anabisha bisha kama jinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…