Dodoma: Mussa Assad(CAG), ahojiwa na Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, ripoti kukabidhiwa kwa Spika..

Lengo uzi huu ni kutaka kupata live feeds toka makao makuu ya nchi tuone mpambano unaendeleaje?
 
Kwa kuwa amefika basi mambo yameisha - CAG na speaker ni marafiki wa muda mrefu - hakuna jambo linalowatofautisha isipokuwa nguvu ya mitandao ya kijamii

MALAIKA ANGEZIMA MITANDAO YA KIJAMII!!!
 
Tumwombe Mungu haki itendeke kwa CAG wetu,amin
Nalog off
Haki ipi kaka? CAG sio Halima Mdee au Zitto Kabwe ambaye hiyo kamati inaweza kumfukuza kuhudhuria vikao vyote "vilivyobakia". Hawana la kumfanya. Sana sana watamwomba aombe msamaha tu kama watafanikiwa kumlazimisha akubali hayo aliyosema ni kulidhalilisha Bunge, ambalo basically ni dhalili na dhaifu
 
Habari hizi nimepenyezewa na mbunge mmoja kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania.

Inasemekana wabunge kwa mapenzi yao wameomba kupiga picha na alhaj Prof Assad kwa kile walichokiita kuwa mashahidi wa historia ya bunge kwa vizazi vijavyo.

Mbunge huyu ananijuza kuwa hata wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge wametamani kupiga picha na CAG wakidai kuwa ni jambo jema na la kawaida kabisa katika kuimarisha mahusiano.

Nimejiuliza tu kama hata mwandishi nguli hapa nchini Pascal Mayalla alipoitwa na kamati wabunge walimsubiri wapige naye picha.

Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
 
Haki ipi kaka? CAG sio Halima Mdee au Zitto Kabwe ambaye hiyo kamati inaweza kumfukuza kuhudhuria vikao vyote "vilivyobakia". Hawana la kumfanya. Sana sana watamwomba aombe msamaha tu kama watafanikiwa kumlazimisha akubali hayo aliyosema ni kulidhalilisha Bunge, ambalo basically ni dhalili na dhaifu
Ahsante sana kwa kunifungua macho
Nalog off
 
Kupiga picha za kumbukumbu ni jambo jema,inawezekana wasije wakakutana naye kwenye vikao vya style hii ya kuitwa kwa vitisho,haya picha limeishaje kati ya CAG na hiyo kamati ya maadili?
Nalog off
 
Habari hizi nimepenyezewa na mbunge mmoja kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania.

Inasemekana wabunge kwa mapenzi yao wameomba kupiga picha na alhaj Prof Assad kwa kile walichokiita kuwa mashahidi wa historia ya bunge kwa vizazi vijavyo.

Mbunge huyu ananijuza kuwa hata wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge wametamani kupiga picha na CAG wakidai kuwa ni jambo jema na la kawaida kabisa katika kuimarisha mahusiano.

Nimejiuliza tu kama hata mwandishi nguli hapa nchini Pascal Mayalla alipoitwa na kamati wabunge walimsubiri wapige naye picha.

Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
John rafiki mbona unawageuka wenzako? Nyote mmemkandia Assad, leo naona kama you are positive with kupiga picha na mbaya wenu! Umeanza kugeuka au danganya toto! Au kuna kitu I am yet to decipher!
 
Back
Top Bottom