Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Msidharau wazee nyinyi Chadema.
Hivi unajua moja la anguko la CDM ni kudharau wazee?
Yaani kijana kabisa akaige swaga za wazee, hapo hamna kijana.
Msidharau wazee nyinyi Chadema.
Hivi unajua moja la anguko la CDM ni kudharau wazee?
Wamebaki na mwenye chama pekee mzee Mtei na mwke wake ndio maana tunaita SACCOSS, hii SACCOSS ina mzee mmoja ambaye ndie mmiliki na mkwewe mmojaambae ndie mwendeshaji,kwisha. Wengine waliobaki ni wafagizi tu wa ofisi.Msidharau wazee nyinyi Chadema.
Hivi unajua moja la anguko la CDM ni kudharau wazee?
Kwanini mkuuHuyo mzee Hawassi aliye rithi cheo cha Rostam Azizi Mchumi wa chama kushoto mwa Polepole ana roho mbaya kama ya mwendazake.
Raisi ambaye ni mjumbe kakaa meza kuu. Kwamba lile kundi la kutenganisha kofia limeshindwaKikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) kimefanyika leo tarehe 29 Aprili, 2021 katika Makao Makuu cha Chama, White House Jijini Dodoma.
Kikao hicho kimehudhuriwa na Mjumbe wa NEC Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara Philip Mangula
View attachment 1767527
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM (Bara) Rodrick Mpogolo akizungumza katika .
View attachment 1767526
Mjumbe wa NEC Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika kikao hicho cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) kilichofanyika leo tarehe 29 Aprili, 2021 katika Makao Makuu cha Chama White House Jijini Dodoma.
View attachment 1767525
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Dkt. Ali Mohamed Shein akiwa katika kikao hicho cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) kilichofanyika leo tarehe 29 Aprili, 2021 katika Makao Makuu cha Chama White House Jijini Dodoma.
View attachment 1767529
Wajumbe mbalimbali wa NEC wakiwa katika Kikao hicho cha NEC kilichofanyika leo tarehe 29 Aprili, 2021 katika Makao Makuu cha Chama White House Jijini Dodoma.
PICHA NA IKULU
Kabisa,ukweli mtupu.Wamebaki na mwenye chama pekee mzee Mtei na mwke wake ndio maana tunaita SACCOSS, hii SACCOSS ina mzee mmoja ambaye ndie mmiliki na mkwewe mmojaambae ndie mwendeshaji,kwisha. Wengine waliobaki ni wafagizi tu wa ofisi.
Inamaana Dr. Bashiru Kakurwa ndo basi tena haingii kwenye vikao?..
Ni kikao cha halmashauri kuu ya Kamati kuu(NEC) na sio Kamati kuu( NEC)