Tetesi: Dodoma je ni kweli kuna kimondo kimeanguka huko?

Avatar

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,127
11,908
Maana naona taharuki kwenye grup moja wapo WhatsApp, picha na video zikionesha huu mwanga mfano wa moto, huku hao wadada katika video wakisema kimeanguka, moto unawaka lakini hapateketei huku kukididimia..

Kama upo dom umesikia hii em jaziliza nyama kidogo.. Sijashawishika kwa maelezo ya picha na video za wanadada hao.
IMG-20190423-WA0030.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom