Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Maana naona taharuki kwenye grup moja wapo WhatsApp, picha na video zikionesha huu mwanga mfano wa moto, huku hao wadada katika video wakisema kimeanguka, moto unawaka lakini hapateketei huku kukididimia..
Kama upo dom umesikia hii em jaziliza nyama kidogo.. Sijashawishika kwa maelezo ya picha na video za wanadada hao.
Kama upo dom umesikia hii em jaziliza nyama kidogo.. Sijashawishika kwa maelezo ya picha na video za wanadada hao.