The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,399
- 12,981
Wengine wamekuja kumshangaa rais mwizi.
Unanichekeshaga sana mkuu!!
Ila Asisahau kunya glucose maana Chadema wakitoka ukumbini ngoma inaweza kuwa noma....................!!!
Wengine wamekuja kumshangaa rais mwizi.
Kumbe Rais anakubalika !Mie nilifikiri atasusiwa!Kumbe hata mabalozi wa nchi mbali mbali wamekuja!
Vipi Mtwara,Tanga,Lindi,Pwani nao waliipa kura Chadema?
Hivi nyie mnafikiri Watanzani wote wajinga?Nyie mnafikiri mnaye jadili hapa JF ndiye yapo mitaani au huki vijijini?Mijtu mingine !
Kususiwa na Chadema hakumfanyi kutokuwa Rais!
Kumbe Rais anakubalika !Mie nilifikiri atasusiwa!Kumbe hata mabalozi wa nchi mbali mbali wamekuja!
Vipi Mtwara,Tanga,Lindi,Pwani nao waliipa kura Chadema?
Hivi nyie mnafikiri Watanzani wote wajinga?Nyie mnafikiri mnaye jadili hapa JF ndiye yapo mitaani au huki vijijini?Mijtu mingine !
Kususiwa na Chadema hakumfanyi kutokuwa Rais!
Punguza jazba we mwana-CCM unaetumika kama daraja bila kujitambua. Unatokea kijiji gani we lijitu lisilo na akili?
Kususiwa na Chadema hakumfanyi kutokuwa Rais!
Unanichekeshaga sana mkuu!!
Ila Asisahau kunya glucose maana Chadema wakitoka ukumbini ngoma inaweza kuwa noma....................!!!
Wengine wamekuja kumshangaa rais mwizi.
Kama wabunge wa Chadema wamekula kiapo cha kuitambua katiba, then wanamtambua Rais. Maneno ya kutokumtambua ni siasa tu za barabarani, na itadhihirika leo kwa sababu watakuwepo kumsikiliza Rais wa nchi.
Ewe mwanachama usidanganyike! "akili za kuambiwa,...".