Nimezunguka kwenye Supermakerts Nairobi mara kwa Mara, Bidhaa za tanzania nilizoona ni AFricafe tu,
Sijui hizi takwimu kwamba tunauza zaidi kenya JK kazipata wapi?
Lazima hizi takwimu zitakuwa zimechakachuliwa.
Ilikuwa hotuba nzuri sana na ya matumaini. SIna hakika saaaaana na upande wa pili wa utekelezaji sababu cabinet hatakuwa na watu ambao ni action oriented. Hivyo ahadi alizotoa na dhamira aliyoionyesha vinaweza kupotea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.