Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

Wanabodi,
leo ndio namalizia ile live ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 10 unaofanywa na Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kama ni kufurika, leo ndio Dodoma imefurika. Wakuu wote wa vyombo vyote vya Umma wako Dodoma, hapa bungeni ndio hapafai kabisa maana hata makundi ya malobbyst wote wako usawa huu.

Leo ni hadi magari ya wanabalozi, baada tuu yakuwashusha, wamefukuziwa mbali wakajitafutie maeneo ya kuegesha kule nje ya ukumbi wa Bunge, ng'ambo ya barabara, eti ndani hapatoshi!.
 
Wanabodi,
leo ndio namalizia ile live ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 10 unaofanywa na Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kama ni kufurika, leo ndio Dodoma imefurika. Wakuu wote wa vyombo vyote vya Umma wako Dodoma, hapa bungeni ndio hapafai kabisa maana hata makundi ya malobbyst wote wako usawa huu.

Leo ni hadi magari ya wanabalozi, baada tuu yakuwashusha, wamefukuziwa mbali wakajitafutie maeneo ya kuegesha kule nje ya ukumbi wa Bunge, ng'ambo ya barabara, eti ndani hapatoshi!.

Lete mambo!
 
Kumbe Rais anakubalika !Mie nilifikiri atasusiwa!Kumbe hata mabalozi wa nchi mbali mbali wamekuja!
 
Wanabodi,
leo ndio namalizia ile live ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 10 unaofanywa na Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Kama ni kufurika, leo ndio Dodoma imefurika. Wakuu wote wa vyombo vyote vya Umma wako Dodoma, hapa bungeni ndio hapafai kabisa maana hata makundi ya malobbyst wote wako usawa huu.

Leo ni hadi magari ya wanabalozi, baada tuu yakuwashusha, wamefukuziwa mbali wakajitafutie maeneo ya kuegesha kule nje ya ukumbi wa Bunge, ng'ambo ya barabara, eti ndani hapatoshi!.

sahihisho hapo mkuu sio rais wa JMT:nono::nono::nono: ni rais wa NEC!
 
Kumbe Rais anakubalika !Mie nilifikiri atasusiwa!Kumbe hata mabalozi wa nchi mbali mbali wamekuja!

Kwani mabalozi wana tatizo gani wakati nchi zao na watu wao ndio wanafaidi Rasilimali za tanzania ona China, wahindi,Waarabu, US, etc. issue hapa ni watanzania tuhakikishe tunapata viongozi bora na haki, sheria inafuatwa si longo longo kama za CCM na JK.
 
sahihisho hapo mkuu sio rais wa JMT:nono::nono::nono: ni rais wa NEC!

Ni kweli kabisa maana hata wana CCM wengi wanaiunga mkono Chadema, na walitupa kura za kutosha kabisa na tuko nao kwenye harakati za kumtoa JK, angalia Kyela, Shinyanga, Ubungo etc. mimi kuna wana CCM damu damu nawafahamu na wanazifagilia sera za chadema kinoma.
 
Nitafurahi pale, Tindu Lissu atakapo omba mwongozo wa spika, Rais wa JMT asihutubie bunge teh teh teh teeeeeee
 
Huelewi na hutaelewa sijui unafanya nini humu. Kweli ni rais wa NEC hakuna anebisha lakini si rais wa Watanzania kwa maana wengi hawakumchagua.

Hivi nyie mnafikiri Watanzani wote wajinga?Nyie mnafikiri mnaye jadili hapa JF ndiye yapo mitaani au huki vijijini?Mijtu mingine !
 
Kumbe Rais anakubalika !Mie nilifikiri atasusiwa!Kumbe hata mabalozi wa nchi mbali mbali wamekuja!

kweli unanishangaza... kwani hata matokeo ya lipotangazwa na kuapishwa watu si walikuwepo weeeeeeeeeengi tu!!! raha ungewauliza nini kilichokuwa mioyoni mwaoo!!!!

swali: hao watu ni kweli wanamkubali kama RAIS au wapo hapo kiprotokali?!!! tafakari kwanza kwani sio kila kinachong'ara ni dhahabu!
 
Ni kweli kabisa maana hata wana CCM wengi wanaiunga mkono Chadema, na walitupa kura za kutosha kabisa na tuko nao kwenye harakati za kumtoa JK, angalia Kyela, Shinyanga, Ubungo etc. mimi kuna wana CCM damu damu nawafahamu na wanazifagilia sera za chadema kinoma.

Vipi Mtwara,Tanga,Lindi,Pwani nao waliipa kura Chadema?
 
Hivi keshalifungua hilo bunge! Mi nashangaa tangu juzi watu wanapiga keleeeeeeele sijui nani vile makinda kama sio kinda anaanza kudesa anapotamkiwa vifungu. Saangapi amefungua hilo bunge au bado! Mama wa watu maskini namwonea huruma sana. Inabidi akeshe akisoma miongozo maana ataishia kuwapiga bun wabunge wote wa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom