Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

Pumba sana ukichekecha zote zinapita hakuna inayobaki kama ni pointi, sasa anawaambia wapinzania gani hapo, CUF na mrema kwani hao ni wapizani au CCM B
 
tatizo flow inashindikana sababu president anaongea randomly mno

yaani kishapagawa ..CHADEMA kutoka nje imemstua sana ..yaani ni raisi wa kwanza Tanzania kufanyiwa hivi..hahaaaaaa mkwere kazi unayo ..eti nchi ina mpasuko wa kidini
 
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,
DODOMA, 18 NOVEMBA 2010


(Upuuzi mtupu na uwongo uliokomaa.)

tujadili hii hotuba.

Nimekugongea li senkis mkuu kwa uchambuzi makini
 
yaani anabwabwaja tu hotuba haina mwelekeo wala mtiririko maalumu
 
Jamani mbona hamuelezi kama CHADEMA wapo au hawapo? Tunashauku ya kujua hilo kuliko hilo wakuu!
 
wataendeleza jitihada za kutanua bandari, miundo mbinu ili kunufaika na kusafirishia majirani mizigo
wataimarisha bandari za dar, mtwara, mbaba bay, wataimarisha reli na kujenga reli ya Isaka-rwanda. wataimarisha, hajasema kujenga mpya labda ile ya isaka-rwanda
 
Elewa Chiliwe waliotoka ni wabunge wa chadema wakiongowa na wanachadema walioingia bungeni kindugu na kutuambia wanatoka kwa sababu wanawakimbia mafisadi wakati wanaotoka ni mafisadi wanaooooongozana.... Tusidanganyanye CHADEMA hawajakomaaa kisiasa ndio maana mwenyekiti, na uongozi mzima wakisema tutoke anaefuata ni mdogo wake ambaye kaingizwa bungeni kupitia mgongo wa kaka ama mjomba nae anatoka...... CHADEMA hawajakomaaa kisiasa....



hahahaha CCM ndo wamekomaa??? Kamuulize Kingunge akuambie CCM inakuwa kwa kurudi nyuma sasa wewe ni nani??
 
JK anataja vipaombele
Uchumi
amani/Muungano
kuboresha mipango kukuza uchumi
Atawezesha middle claas enterprenuar
kuboresha secta binafsi na kuruhusu soko huria
kufanya Tz kuwa lango kuu la biashara na usafiri east africe kwa kuboresha bandari,barabara
maliasili kunufaisha taifa
kuboresha ukusanyaji wa mapato na kuinmarisha nidhamu ya matumizi
kupanua na kuendeleza elimu primary-university. makazo kwenye sayansi
kupanua huduma za kijamii. barabara, maji, afya reli
kuimarisha utawala bora na sheria na kupamabana na wizi, kaepuka kutaja ufisadi
kuimarisha uhusiano na mataifa mengine
kuongeza jitihada za kuhifadhi mazingira
kulinda mafanikio yaliyopatika. kukamilisha ahadi ya 2005

ipaombele viko 13.
HUO NDIYO UPU$#####vU KWANINI HAJAZUNGUMZIA UFISADI NA ANAJUA NI UGONJWA MKUBWA SANA NA UNAIMALIZA NCHI HII!
 
I take it for you ufisadi is not a problem in Tanzania.

It is not the only problem. Contrary to what everybody else is making it seems. That we fix ufisadi--then voila, shilingi itapanda, our exports will double and we will be energy efficient.

Simplifying our problems to only ufisadi; make some of us feel like maybe you don't even know our other equally big challenges.
 
anazungumzia elimu, wataimarisha na kupendelea bajeti ya elimu.
wataajiri walimu wa kutosha, kuongeza matumiozi ta IT, watanunua vitabu, kujenga maabara katika shule zote za sekondari, watajenga nyumba za waklimu kote nchini
 
Yaani sio kutoka tu..hata kusikiliza hotuba yake kwenye TV wakiwa vyumbani mwao wasusie..na sisi wakereketwa ambao tuko kwenye TV pia tususue..na infact na hata hii thread ya live from Dodoma pia ifungwe..maana ni kama vile tunamtambua Raisi ati!
pumba
 
yaani anabwabwaja tu hotuba haina mwelekeo wala mtiririko maalumu

kapigwa na mstuko mkubwa sana leo...hahaa na hii itakaa kichwani mwake siku nyingi sana zijazo.sasa bada ya hii ndo Dr.Slaa tuhutubie na ueleze wazi jinsi walivokwiba kura zetu..Tueleze kwa upole na ufasaha..maana tusije pandwa na hasira tukapigwa ban ya milele hapa JF
 
Ana vipaumbele 13 sijawahi kusikia vipaumbele vingi hivi lakini kali zaidi ni kwamba mojawapo ya vipaumbele ni kutafuta wafadhili na marafiki zaidi!!!! sijui zinachaji????
 
Bulding capacity for STAMICO to actually doing some mining & Processing. Sort like Petronas with Oil in Malaysia. Dude speaks like he has been there. He knows the challenges. SLaa yeye anaongea ufisadi, ufisadi. As if that is our silver bullet
Bila kupigana na ufisadi juhudi zozote za maendeleo nchini Tanzania zitakwama. Kila mradi tunapoteza 30% tutafika kweli? That is what the real Dr Slaa is saying, dude. And by the way who killed STAMICO?
 
Back
Top Bottom