Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Jamani mbona hamuelezi kama CHADEMA wapo au hawapo? Tunashauku ya kujua hilo kuliko hilo wakuu!
mkuu chadem wako nje wanacheza bao mda mrefu sana
Jamani mbona hamuelezi kama CHADEMA wapo au hawapo? Tunashauku ya kujua hilo kuliko hilo wakuu!
tumefanikiwa kurekebisha mikataba ya makampuni makubwa na wameanza kulipa Kodi, tumetunga sera mpya na sheria mpya........ CCM daima
hahahaha CCM ndo wamekomaa??? Kamuulize Kingunge akuambie CCM inakuwa kwa kurudi nyuma sasa wewe ni nani??
Because you choose to let some theological lawyer to think for you. Umekuwa STAN, ndio maana huelewi vitu rahisi.
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,Sisi katika CCM tunawashukuru ndugu zetu hawa wa vyama vya upinzani kwa kutupa changamoto katika uchaguzi huu ulioisha. Tumejifunza tumeteleza wapi, na tunajipanga kuvirudisha viti tulivyovipoteza na kuongeza vingine zaidi. Tunawashukuru kwamba mmetushtua mapema na kutupa fursa ya kujipanga upya wakati bado tukiwa ni Chama tawala.
DODOMA, 18 NOVEMBA 2010
Mheshimiwa Spika,
anazungumzia elimu, wataimarisha na kupendelea bajeti ya elimu.
wataajiri walimu wa kutosha, kuongeza matumiozi ta IT, watanunua vitabu, kujenga maabara katika shule zote za sekondari, watajenga nyumba za waklimu kote nchini
mpasuko wa kidini kauanzisha yeye mwenyewe! Aseme sasa kuwa wakristo wamekimbia bunge!yaani kishapagawa ..chadema kutoka nje imemstua sana ..yaani ni raisi wa kwanza tanzania kufanyiwa hivi..hahaaaaaa mkwere kazi unayo ..eti nchi ina mpasuko wa kidini
Kususiwa na Chadema hakumfanyi kutokuwa Rais!
anazungumzia elimu, wataimarisha na kupendelea bajeti ya elimu.
wataajiri walimu wa kutosha, kuongeza matumiozi ta IT, watanunua vitabu, kujenga maabara katika shule zote za sekondari, watajenga nyumba za waklimu kote nchini
Wewe lazima mme wako ana nyumba ndogo, inaonekana una ugwadu wa kufa mtu. Hauna house boy awe anakusaidia kuondoa hizi stress? Pole sana Mwaya
Aiseee!!!!!Wewe lazima mme wako ana nyumba ndogo, inaonekana una ugwadu wa kufa mtu. Hauna house boy awe anakusaidia kuondoa hizi stress? Pole sana Mwaya
HAHAHAHA MKUUUU DUUUUU SO FUN! :smile-big:Mbona haelezi realities za maisha na how shall we make them happen, naona anaongea stori tu na kama vile anasizisizi hivi sijui anataka apige pindu!!!!