Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,382
- 3,160
Mawakala wa Chadema wakila kiapo cha Utii
Aloooo kaziipo
Mawakala wa Chadema wakila kiapo cha Utii
Ponda ana sikilizwa na waumini wengi. Limewatisha.Mbona Shehe Katimba hawakumuandama? Sasa hivi wanaleta question mark wanapomuandama Ponda.
Hiyo misikiti imetolewa kamaShekhe Ponda Issa Ponda amesema Waisilamu wasihongwe Misikiti wakati Viongozi wao wakinyea debe na kuteswa ameyasema hayo Leo Tandahimba.
My friend amini nakuambia huyo kibaraka wa wazungu lissu mbeligiji hatoboi,kamwe nchi haiwezi pewa watu wa aina ya lissuMkoloni mweusi kaburu tokea chato anatapatapa hali ni tete watanzania wameamka wanataka HAKI wamechoka kubambikiwa kesi kesi uonevu unyanyasaji kupigwa risasi