Kuna Kilimani club ambayo choo zake huwezi ingiaHakuna stand ya mabasi.
Hakuna stand ya daladala.
Hakuna uwanja wa ndege.
Hakuna miundombinu ya maana.
Hakuna hata 5 star hotel hata moja.
Wenye mengine mtaongezea.
St. Gaspar 185,000/= chumba ila asubuhi huruhusiwi zaidi ya sausage moja na yai moja.
Stand imehamishiwa kusikojulikana hivyo wakazi wa Dodoma mtajiju nikiwemo mimi pia.
Chako ni chako hivi bado ipo? NK kijiwe chetu cha early 90s nasikia imekufa ila mimi sijaenda disco miaka.
Ombaomba tunazalisha mpaka tunasambaza mikoa nyingine wakati mvua zinanyesha na tuna uwezo wa kuvuna chakula cha kutosha ila sababu ya kuendekezwa na khanga, kofia na tshirt za njanao, kijani na black hatununui nguo wala kununua chakula tunajua Ijumaa mtatupa tu!!!!!