Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,140
- 4,189
Hao abiria na wahusika wa Hilo basi wote WAPUMBAVU Kuna mabegi kwenye buti hawatoi pia kila gari inatakiwa kuwa na fire extinguisher na watoa huduma wa Basi wajue jinsi ya kutumia kwa maajabu wamebaki kupiga picha na kuchukua video ili waonekane walikuwa wakwanza kurusha video