BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
job true true
Kweli Dodoma imaekaa nyeusi sana nilikuwa pande hizo few dayz ago...niliambulia kapa acha kabisa
nina wasiwasi na ombi lako kwani mwenyeji lazima awe mdada dom si kuna watu wengi tu wakukutembeza.wagoni utawajua tu.
Kweli Dodoma imaekaa nyeusi sana nilikuwa pande hizo few dayz ago...niliambulia kapa acha kabisa
Nimekuja hapa Dodoma sijapata mdada mwenyeji kabisa wa kunikaribisha mpaka nabakia mpwekee. Naomba mmoja ajitolee basi ani host leo jamani au mmebanwa kiasi hicho? kuni host si maanishi mnipatie malazi No mi nahitaji Company ya kuzunguka hapa mjini kwani niko self contained. I'm serious kwa yule mwenye upendo wa DHATI PLEASE PLEASE I need your company kwani ziara za kuzunguka zoote I will pay. plz!!!!!!!!!!!!! PM me au hata socialization kwa gharama zangu mnakuwa wachoyo?.
nenda club maisha au pale nyerere square utapata slope za kumwaga!!ukishindwa nenda chako ni chakonimekuja hapa dodoma sijapata mdada mwenyeji kabisa wa kunikaribisha mpaka nabakia mpwekee. Naomba mmoja ajitolee basi ani host leo jamani au mmebanwa kiasi hicho? Kuni host si maanishi mnipatie malazi no mi nahitaji company ya kuzunguka hapa mjini kwani niko self contained. I'm serious kwa yule mwenye upendo wa dhati please please i need your company kwani ziara za kuzunguka zoote i will pay. Plz!!!!!!!!!!!!! Pm me au hata socialization kwa gharama zangu mnakuwa wachoyo?.