Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,175
- 45,897
V8 zitaharibika sana mwaka huu na ujao na huo mwingine ujao sababu ya utaratibu mbovu
Shikamoo bi mkubwa .hako ulikuwa unatembea nako speed ngapi ?Umenikumbusha mbali! Gari langu la kwanza kumiliki kwenye tisiniz.
Waache per diemWafanyakazi wa serikalini wataanza kuzikataa safari sasa, manake sio kwa vifo hivi..... RIP wote waliopeteza maisha kwenye ajali hiyo, Mungu awarehemu! Poleni majeruhi tunawaombea uponyaji, pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuwapoteza wapendwa wenu
Mkuu dereva wa CAG alikuwa mzoefu Sana, namfahamu zaidi ya miaka 15 barabaraniSTL tena . Mimi bado shida ni uzoefu Wa madereva wasomi Wa serikali. Kwa nini mliwafukuza std vii? Ina maana anakanyaga mafuta bila control ya gari. Sasa ghafla mble mlori umepaki bila hazard hakuna jinsi lazima ulivae tu!!!!! Poleni wafiwa. Ni matokeo ya makosa ya kibinadam.
wanaona raha wanavyokimbia faster bila askari kuwasimamisha!Hufikiria Kuwa gari la serikali ndo halipati ajali si wawe wanawaambiwa madereva wapunguze mwendo
Lazima madereva wawe makini sio kuendesha kwa mazoe walahiHuku kuhamia Dodoma kutaondoka na roho za wabongo wengi sana.
Watumishi hamieni Dodoma mazima acheni kuwa mnakuja dar kucheki familia hali si nzuri na hiyo barabara
Nikizidi sana 80 ph. Kwenda shamba nje ya mji wakati huo lami si kila mahali.Shikamoo bi mkubwa .hako ulikuwa unatembea nako speed ngapi ?
Naibu CAG chatoAisee! Sijui itakuwa ni ya shirika gani la uma. Magari ya serikali mwaka huu ni balaa
Naomba niwe dereva wako walahiLazima madereva wawe makini sio kuendesha kwa mazoe walahi
Wakuu ni ajali Moja mbaya sana imetokea sehemu Moja inaitwa Cjui mbande
Ni kama kelometa 70 kuingia Dodoma mjini ni porini tu hakuna hata nyumba karibu
Hyo gari ya serikali imepiga engo ya tela LA semi kichanja ilikua imebeba embe
Watu watano wamekufa hapo hapo mida ya saa 8 ucku mimi nilikua natokea dar naenda Dom ndo nimeikuta hyo ajali mbichii kabisa.
Mungu awarehemu ndgu zetu.
R.I.PView attachment 919747View attachment 919748View attachment 919749View attachment 919750View attachment 919751View attachment 919762
Ni kweli safari za usiku ni nzuri kwa maana hakuna bughdha ila km hujalala mchana vzr ni hatari na hasa ukiwa na abiria wanaolalalala maana dereva pia inakuwa rahisi kusinzia.SAFARI ZA USIKUUSIKU KAMA HUJALALA VYEMA HATA UWEZO WA MACHO KUONA UNAPUNGUA,TUWAPE MADEREVA WA UMMA MUDA WA KUPUMZIKA HASA KWENYE SAFARI NDEFU,UNATOKA MWANZA UNAUNGA MOJA KWA MOJA DAR,WAKATI UNATAKIWA KUENDESHA MASAA NANE HADI KUMI TU!
Unachoongea ni kweli lakini vp kuhusu kusafiri saa 8 usiku na chombo cha umma?hii ajali nadhani yoyote ingewez kumtokea sio lazm gari ya serikali, hicho kichanja unaweza kuta kiliharibik kikaach angle barabarn n hamn relactor wala harzard unakionaj usiku?