MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
CAG alikuwemooo?Vipi kuna kifo,majeruhi ajali inahusisha kitu gani
CAG alikuwemooo?Vipi kuna kifo,majeruhi ajali inahusisha kitu gani
RIP, ila mitaani kwa kweli gari za dola zinafujo kupita kiasi..halafu mwendo kasi kupitiliza..Aisee! Sijui itakuwa ni ya shirika gani la uma. Magari ya serikali mwaka huu ni balaa
Dua la kuku....Hamfiki sasa mnaishia mortuary
Kiukwel magar ya serikali yanakimbia sana yaani hayafuati alama za barabarani wala nini haswa ya viongozi.Basi ile njia ya kulipia ingejengwa kuelekea huko kuwanusuru walio wengi, naona serikali inahangaika na madereva wakasome badala ya kutafuta namna nzuri ya kubadili tabia za madereva kuepuka ajali.
Mbaya zaidi watumiaji wengine wa barabara hawana haki pale yanapotokea magari ya serikali
Ipo haja ya magari ya serikali kufungwa machine maalumu za kurekodi mwenendo wa madereva wao kwasababu wengi wanaokufa kwa ajali ni abiria wasio na hatia, ukiwauliza madereva wanasema wanalazimishwa na maboss kuwahi waendako.
Kiukwel magar ya serikali yanakimbia sana yaani hayafuati alama za barabarani wala nini haswa ya viongozi.
yani dua LA KUKU kwa udereva WA Stk!?? Hahaaa nina mzidi salary zaidi ya Mara 10 Aiseee you driver cum messenger nikuonee wivu!?? IdiotDua la kuku....
Hata unizid mshahara mara elfu,hilo mimi sijaliyani dua LA KUKU kwa udereva WA Stk!?? Hahaaa nina mzidi salary zaidi ya Mara 10 Aiseee you driver cum messenger nikuonee wivu!?? Idiot