afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,153
- 9,271
Kwa wale wanawake wanao plan ku tengenzwa..
Please be careful with cheap doctors. saa nyingine
ni bora kulipa fedha nyingi na kupata kitu kenye
uhakika.. na fanyeni research za hali ya juu kabla ya
ku decide kitu chochote..
maskini huyu dada kashindiliwa cement kwenye
mwili wake. na doctor ambaye hana hata leseni.. (Fake doctor )
kwa anaye taka kusoma zaidi link hii hapa..
Fake doctor injects cement in woman's rear - Yahoo! New Zealand News