Lizzy I dont means to hate those who are gayz......just showing that guyz is unexeptable thing to our society.....thats your partKuonyesha kero sio guarantee kua hatoanguka, mwingine ndo unaweza ukawa unamsukuma huko ili akukomeshe wewe mzazi. Vile vile kutoonyeshwa kukerwa sio guarantee kua ataanguka huko. . .
Sababu zinazowaangusha huko sio mapokeo ya wazazi wao bali ni maanguko na mmomonyoko wa mambo kwenye ulimwengu huu. Binafsi mbona sijui wazazi wangu wana maono gani kuhusu hilo na sijaangukia huko? Hata leo hii wakiniambia wanakubali hiyo hali bado siwezi badilika pamoja na kwamba najua hawatonitenga. Hivyo hivyo naomba na kutumaini kwamba uzao wangu utaishi kwa misimamo binafsi zaidi ya kuiga iga kila aina ya ujinga. Na hilo ndilo ntakalojitahidi kuwafunza zaidi badala ya kuwaonyesha chuki juu ya watu fulani fulani.
But what I like is that....... maandishi yako yanaonyesha you dont support gayz