Do You Support Gay Rights In Tanzania?

Kuonyesha kero sio guarantee kua hatoanguka, mwingine ndo unaweza ukawa unamsukuma huko ili akukomeshe wewe mzazi. Vile vile kutoonyeshwa kukerwa sio guarantee kua ataanguka huko. . .

Sababu zinazowaangusha huko sio mapokeo ya wazazi wao bali ni maanguko na mmomonyoko wa mambo kwenye ulimwengu huu. Binafsi mbona sijui wazazi wangu wana maono gani kuhusu hilo na sijaangukia huko? Hata leo hii wakiniambia wanakubali hiyo hali bado siwezi badilika pamoja na kwamba najua hawatonitenga. Hivyo hivyo naomba na kutumaini kwamba uzao wangu utaishi kwa misimamo binafsi zaidi ya kuiga iga kila aina ya ujinga. Na hilo ndilo ntakalojitahidi kuwafunza zaidi badala ya kuwaonyesha chuki juu ya watu fulani fulani.
Lizzy I dont means to hate those who are gayz......just showing that guyz is unexeptable thing to our society.....thats your part
But what I like is that....... maandishi yako yanaonyesha you dont support gayz
 
this is a big problem in JF.. mtu kauliza swali unabaki kumkandia yeye ndio yuko hiivyo..
au yeye ni amewahi kufanya hivyo..
wapi amesema yeye ni gay au amewahi kufanya hilo tendo..?? yeye kauliza swali tu .. na kama hilo swali si appropriate
MODs wangesha ondoa..


N kipengele cha pili.. una kila sababu ya kuwachukia wezi, majambazi ...etc sababu wamefanya
kitu kumuumiza mtu mweingine... Je homosexual wamekufanya nini haswa mpaka uwachukie kiasi hicho??

Asante Afro......

Hata mm nilimshangaa, nikaona wacha nijinyamazie tu
 
si support hayo mambo,ila siwachukii.kuna mmoja namfahamu ni mwalimu wa sec.ana roho nzuri ajabu,na ni mwalimu anaejituma na anafanya kazi yake kwa uhakika.
Mi pia sisupport, but kuna advert ya CNN ambayo jamaa is a deaf, dumb, gay na mbaya zaidi ni HIV positive, huwa namuonea huruma sana. Hawa watu pamoja na hali zao inabidi wasaidiwe n should be protected. Na ukifanya uchunguzi utagundua kuwa wengi wao wamezaliwa na hormones za kike. It could be u, lets protect them!!
 
MY TAKE on this........
Don't hate them or treat them badly
But dont support it, and play your part to avoid more became gayz
Coz ni kinyume cha maadili yetu na maamrisho ya Mungu
 
Lizzy I dont means to hate those who are gayz......just showing that guyz is unexeptable thing to our society.....thats your part
But what I like is that....... maandishi yako yanaonyesha you dont support gayz
That's where the hate starts. . .
Ni ngumu sana kukataa kitu passionately bila kuonyesha chuki juu yake maana itakutaka kutocheka cheka kuhusu hilo jambo.
 
wapo wanaume wengine wanasema wanachukia gay,kumbe wao wenyewe wanapakuliwa.huwa hapo sielewi,ila wanafanya mambo siri.na wapo wengine wana admit ila wanachukia hicho kitendo,na kuacha hawawezi.hapo pia huwa sielewi.wengine huwa abused wakiwa wadogo,na wao huo mchezo huendelea nao
 
That's where the hate starts. . .
Ni ngumu sana kukataa kitu passionately bila kuonyesha chuki juu yake maana itakutaka kutocheka cheka kuhusu hilo jambo.

Mfano mwanangu anasoma IFM ananijia na kuniuliza dady roommates wangu wanafanya hivi na mmoja kaniomba nishiriki...nahisi kuvutiwa,is this right?
Jibu utakalo mpa ndio litaonyesha you support guys or not.....
If you dont mind wewe utamjibuje?...............
 
Boflo again...this time anakuja na mada ya aina yake. Well, wanachofanya watu in private is non of my business. But I dont like that business at all. Boflo, wewe si umeoa?
 
Mfano mwanangu anasoma IFM ananijia na kuniuliza dady roommates wangu wanafanya hivi na mmoja kaniomba nishiriki...nahisi kuvutiwa,is this right?
Jibu utakalo mpa ndio litaonyesha you support guys or not.....
If you dont mind wewe utamjibuje?...............
Ntamwambia hapana maana sio sahihi.
Tatizo ni kwamba baadhi ya watu hapa ni extrimists. . . waliotayari kuwanyanyasa hao watu kimwili, kifikra,kihisia na kusambaza chuki vyote in the name of 'kutoonyesha support'.
 
Personally, I really don't care what two consenting adults do in the privacy of their bedroom. Why should I care? Aren't they over 18 years old? I think as a nation we have our priorities misplaced. We should be fighting vices like Ufisadi, Aids, Poverty, and Ignorance instead of wasting our energy on grown ups who want to do whatever with their own bodies in their own bedrooms!

Remember you may hate gays and lesbos today but your own son or daughter may just grow up to be one of them

I think as a nation we have our priorities. We should be fighting vices like Ufisadi, Aids, Poverty, HOMOSEXUALITY and Ignorance.
 
Gay rights ni bullshit sio tu tz bali dunia nzima. We mwanaume itakuaje aolewe halafu watu wahalalishe?
 
Babu ODM, ni rahisi sana kukana mtoto wa mtu mwingine
lakini wa kwako, unamkana mwezi au miezi miwili baadae unamsamehe.

Aisee, mwanao akipinda jamani, we sikia tu
hata ujidai vipi hujali, unajali
na unataka kumsaidia awe afadhali kidogo.

'moto huzaa jivu'
Kongosho asali ya ODM.... mpenzi wangu na mpendwa wangu.....

Ntamsamehe mwanangu kwa kosa lolote lile atakalofanya lakini si USHOGA.

Niape?:A S-fire1:
 
Personally, I really don't care what two consenting adults do in the privacy of their bedroom. Why should I care? Aren't they over 18 years old? I think as a nation we have our priorities misplaced. We should be fighting vices like Ufisadi, Aids, Poverty, and Ignorance instead of wasting our energy on grown ups who want to do whatever with their own bodies in their own bedrooms!

Remember you may hate gays and lesbos today but your own son or daughter may just grow up to be one of them










Siwezi kuwa mpenzi wa jambo lisilokuwa la kawaida!
 
Hili swali ningeulizwa mimi ningejibu bila kusita.... NDIO. Tena si mara moja bali namkana mara zote.

Sawa, huyo ni wewe na huo ni uamuzi wako. Mimi siwezi kumkana mtoto wangu kisa tu ni gay. Kuna magay wengi tu ambao ni binadamu wema sana.

Sasa nikuulize swali jingine, ukiwa mgonjwa umezidiwa sana na kupelekwa hospitali utakataa tiba endapo daktari na nesi anayekuhudumia wote ni magay?
 
Back
Top Bottom