mbona unaogopa? Nyerere alienda mbali zaidi juu ya hilo. Yeye alisema hivi kuhusu wananchi wanapopoteza imani na serikali yao.
Thanks for understanding me, let me say this very painful word, it seems war is the only solution at hand now!
Hold on...
Moja ya vitu ambavyo vinaonekana dhahiri kuwa Tanzania imevikosa ni kuwa hakuna generation ya watu waliokufa ili kulijenga hili taifa. Nchi mbalimbali duniani zilizoendelea ni kuwa mataifa yao kuna kizazi kiliteseka hata kufa kutokana na vita au udikteta-safi!
American was born in streets, baada ya kuchapana sana wakakaa chini na kusema tulijenge taifa, mkishachapana na kutulia, kila mtu anakuwa na adabu a si kama hivi sasa Tanzania watu hawana adabu wanakula mpaka mayai ya vizazi vijavyo!
Lazima kuna kizazi kife au kiteseke ili taifa halisi lijengeke , Nyerere well, aliplay part ya kuichukua Tanzania salama kutoka kwa wakolon. Ujamaa sio kuwa una matatizo ila usimamizi wa Nyerere kwenye ujamaa ulikuwa wa kitakatifu. Nyerere was supoosed to be a dictator, Sera za ujamaa ziko contrary na human nature..'usawa' ili kufuata ujamaa Nyerere alitakiwa kuwa dictator na siyo kama alivyokuwa mtakatifu, mtu akifilisi shirika hili anapelekwa shirika lingine, as a result watoto wa kisiasa wa Nyerere leo hii wengi wezi.
Nimetumia udikteta-safi kwani kama rais ana vision nzuri na yuko kwa lengo la kuwatumikia wananchi basi huo udikteta ni mzuri
So watanzania tumekosa vitu vyote; kupigana wenyewe kwa wenyewe na kumwaga damu na tumekosa msimamizi dictator wa ujamaa Nyerere alikuwa mtakatifu kivyake na alikosea sana kudhani kila mtu anawaza kama yeye.
Leo hii vyama vya upinzani ni wastage of time, kusema CCM wataondoka madarakani is another daydream, kusema wananchi wataigeuka serikali wasiipigie kura is nightmare.....kusema wananchi waandamane nchi nzima hata polisi wakitoke tupigane nao, haiwezekani kwa Tanzania ya sasa
Solution ni mapinduzi, au kusubiri next 100yrs!! wakati madini, na mali asili zingine, au nchi nzima imeshauzwa!
I repeat nchi nyingi waliopigana vita wameendelea sana kuliko Tanzania, they have arleady paid their price to be called nation, nchi ambayo haijajengwa kwa damu na jasho matokeo yake ni haya kila mtu anaimega!!