Do you know what is consummation?

Hiyo ni sheria ya Tanzania au wapi? Vipi kwa ndoa za jinsia moja (say wanawake tupu) hii dhana ya 'consumation' (insertion?) inakuwaje? Na vipi kama watu wanatumia mpira (condom) hiyo consumation inakuwaje?

Basing on common law courts decisions, using condom does not affect consummation.
 
Wewe utakuwa mwanafunzi nini? Leo ndio kwenye course ya 'family law' ndio mmefundishwa? Canon Law inaongelea vizuri tu kuhusu suala hili na kuelewa sio lazima uwe lawyer!!!!!!

Nilichokataa ni kukariri. Mwanafunzi anahitaji kukariri ili aweze kukumbuka kwenye mtihani hasa elimu yetu ya bongo. Katika practice huwezi kukariri maana haina mantiki yeyote! Sasa kama wewe umesoma canon law, thats well and good. But mind you a person does not become a lawyer just because he has had an opportunity to study and understand canon law. I
 
Proving an allegation is a matter of law. He who alleges must prove! You will have to prove to the court on the balances of probabilities that the marriage has never been consummated!
 
Proving an allegation is a matter of law. He who alleges must prove! You will have to prove to the court on the balances of probabilities that the marriage has never been consummated!

That is almost an insurmountable task.
 
Huyo ni mwanafunzi wa sheria sio mwanasheria maana sie wanasheria hatuna kingereza bomu namna hiyo.

Acha ushamba wewe...hivi ndio ulifundishwa hivyo kuwa kuna mwanasheria bora kuliko mwingine na udharau wenzako katika taaluma. Mtoa mada hata humfahamu lakini unaanzisha mashindano ktk keyboard. kha! Hebu basi wewe mjibu kwa kiingereza tukupime.
 
Same thing! Woman avoid that marriage for non consummation. And the effect will that she has never been married at all!

Better try it before get married..... It helps avoiding marriage b4 it happens...
 
Umenikumbusha qualifying law. Marriage law, marriage is all about consummation...failure to do that marriage become void.
 
Erotica, ni kwamba ili ndoa iwe halali lazima mnapofunga ndoa ifuatiwe na what is called consummation. It means you must do. Now it doesnt matter how far you have done but if there was an insertion that it. Mf wakati mnatoka kanisani u got an accident(God forbid), one of you dies. The marriage will be void for non consummation and therefore it will be as if you were never married. Think of issues of importance and the like

Hii inatumika kwa ndoa za jinsia moja pia?.... Na ndoa zilizokomaa je? Yaani za kubariki.
 
Well, mimi sio mwanasheria na wala sijawahi kusomea sheria

nimekuwa enlightened kuwa laws of marriage pia inasema kuwa kama hakuna consummation, hiyo ndoa inaweza kuwa null and void ab initio

nilikuwa nafahamu kidini tu..kwamba mkishatoka kanisani (sijui kwa wenzetu waislam) ni shurti mkamegane ili kukamilisha kitendo chenyewe...na kisipofanyika, ina maana mmojawenu 'akiwa kichaa' akaenda mahakamani atadai ndoa haikuwepo tangu mwanzo kwa sababu haikuwa consummated.

haya jamani nani anataka kufanya practice?
 
Well, mimi sio mwanasheria na wala sijawahi kusomea sheria

nimekuwa enlightened kuwa laws of marriage pia inasema kuwa kama hakuna consummation, hiyo ndoa inaweza kuwa null and void ab initio

nilikuwa nafahamu kidini tu..kwamba mkishatoka kanisani (sijui kwa wenzetu waislam) ni shurti mkamegane ili kukamilisha kitendo chenyewe...na kisipofanyika, ina maana mmojawenu 'akiwa kichaa' akaenda mahakamani atadai ndoa haikuwepo tangu mwanzo kwa sababu haikuwa consummated.

haya jamani nani anataka kufanya practice?

Ndivyo ilivyo katika sheria pia
 
Mmh sasa mmoja akishakufa si ndio linakuwa limetimia lile neno la "mpaka kifo kiwatenganishe" bila kujalisha kama mlishaduu au vipi
 
Well, mimi sio mwanasheria na wala sijawahi kusomea sheria

nimekuwa enlightened kuwa laws of marriage pia inasema kuwa kama hakuna consummation, hiyo ndoa inaweza kuwa null and void ab initio

nilikuwa nafahamu kidini tu..kwamba mkishatoka kanisani (sijui kwa wenzetu waislam) ni shurti mkamegane ili kukamilisha kitendo chenyewe...na kisipofanyika, ina maana mmojawenu 'akiwa kichaa' akaenda mahakamani atadai ndoa haikuwepo tangu mwanzo kwa sababu haikuwa consummated.

haya jamani nani anataka kufanya practice?

Ndivyo ilivyo katika sheria pia
 
Back
Top Bottom