Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
- Thread starter
- #61
Hiyo ni sheria ya Tanzania au wapi? Vipi kwa ndoa za jinsia moja (say wanawake tupu) hii dhana ya 'consumation' (insertion?) inakuwaje? Na vipi kama watu wanatumia mpira (condom) hiyo consumation inakuwaje?
Basing on common law courts decisions, using condom does not affect consummation.