Do you know of a subject harder than Mathematics?

Do you know of a subject harder than Mathematics?

Kuna kitu kinaitwa engineering mathematics #1 , 2 &3
 
Physics bwana if math is harder advanced physics is *10
 
Nackia LLB ndo degree rahisi !!!!
 
Ugumu wa masomo hutegemea na msingi,nikiwa o level kila somo lilikuwa la kawaida lakini ADVANCE,Biology ngumu sana hii itokana na kuwa karibia topic zote sikufundishwa na Mwalimu..ni Cytology pekee ndio nilionana na mwalimu.
 
WanaJF, We have been to all sorts of schools and colleges, at each level, subjects or courses related to mathematics are often shunned by many of us except those few good in maths whom we often adore as sharp minds("vipanga").This prompts me to ask is mathematics the most difficult subject? Is there any other subject probably harder than Maths that you know of? Responses.

Amin nawaambieni mimi ni kipanga wa Physics 'n Mathematics, Physics ni noma sana maana tulipokuwa tukisoma mathematics tulikuwa tunatumia kama lugha ya kusomea physics, kama English ilivyo muhimu katika kujibu maswali ya essays kwenye History,Geog. etc.
 
Amin nawaambieni mimi ni kipanga wa Physics 'n Mathematics, Physics ni noma sana maana tulipokuwa tukisoma mathematics tulikuwa tunatumia kama lugha ya kusomea physics, kama English ilivyo muhimu katika kujibu maswali ya essays kwenye History,Geog. etc.

Kwa ngazi ya chuo kuna kitu inaitwa Data structure and algorithm sitaki hata kuiaikia
 
physics is the most difficulty of all.

is the only subject to have revolution in every human kind of every development from technology,to treatment,to history, to education etc . even this Jamiiforum here you posted is a sort of physics.
 
What i know and i strongly believe is that, Mathematics is the easiest subject.
 
Aisee acheni unafki. Physics uwe unaiweza ama huiwezi ni somo gumu sana. Ugumu unakuja kutokana na mambo unayohitajika kujua ili uweze kumaster physics. Ili uwe master wa physics unahitajika ujue hesabu kwa upana sana, unahitajika ujue derivation ya concept, uwe free thinker, uwe na elements za uvumbuzi. Hivi vyote si kidogo kuvimaster.

Though mwisho wa yote, maisha hayahusiani na masomo ya darasani.
 
physics ndugu na ndo maana wenye c za physicsadvance na o-level 2nahaki ya kuringa

Kupata A darasani siyo kigezo cha kujiita unajua physics. Physics ni pana zaidi ya mabanda ya darasani. Kufaulu physics au hesabu kunatokana na huruma ya mtunga mtihani. Mtunga mtihani akiamua atunge asifaulu hata mmoja anaweza fanya hivyo. Na akiamua mfaulu wote mnafaulu.
 
Kufaulu physics au hesabu kunatokana na huruma ya mtunga mtihani. Mtunga mtihani akiamua atunge asifaulu hata mmoja anaweza fanya hivyo. Na akiamua mfaulu wote mnafaulu.
 
Physics Naipenda sana kuliko somo lolote mana linanipa uwanja mpana wa kufikiri na kufanya majaribio kinachotukwanisha wanafunzi ni kumesa notes au madesa bila uelewa ila ukielewa mbona ni very easy na utatamani kusoma new concepts kila siku btw kwa Technical school mnyama physics aliitwa Engineering science
 
Back
Top Bottom