I think virgin man ni bora, maana hajui chochote kuhusu wanawake. Hivyo ataridhika tu na jinsi mke wake alivyo, maana hajui vionjo vingine.
Inategemea ndugu yangu, wapo baadhi ya wanaume ni kweli wanakuwa virgin hadi wanapooa, hata wakioa huwa wanatulia kwenye ndoa zao vizuri tu.Pretty,
Huyu ni mume au boyfriend?( without going into the morality of this subject)
Mume ambaye haja experience kitu...nadhani ni hatari sana mbele ya safari maana atataka kujaribu huku na kule....
But myself i like Virgin women.
Would you choose the used car and leave the new one?
Men who somehow stayed off sex for till maybe late 20's..
Pombe ni mkuyati...!..unajua pombe zinachangia kwa kiasi fulani erectile dysfunction....
I think virgin man ni bora, maana hajui chochote kuhusu wanawake. Hivyo ataridhika tu na jinsi mke wake alivyo, maana hajui vionjo vingine.
Virgin men turns women off, same to us virgin females are boring!
Kuna hii comedy interesting to watch The 40 Year Old Virgin directed by Judd Apatow....Starring by Steve Carell & Catherine Keener
utaona virgin males wanavyoboa!
leo nikimpata nitamtambuaje kama bado yupo virgin?....eehh Masa
leo nikimpata nitamtambuaje kama bado yupo virgin?....eehh Masa
Siku hizi usanii upo kila sehemu, wakaka na hata wa dada....mimi niko virgin unasemaje my dia!! hahahahahahah
nimecheka sana...nitaku PM....lol
Wakati wa kumegana atakuwa anawahi kumaliza game mapema ila ni kwa kipindi fulani tu akishabobea utajuta kumfundisha
bora huyo, kwasababu hana mawazo mengine na wanawake wengine, pamoja na kwamba siku akionjeshwa na mtu wa nje, katu hatoshikika tena, anahama kabisa.
You people have got to understand that, kutulia au kutotulia kwenye ndoa haiji kwa nguvu za mwili. inakuja kwa nguvu ya kushinda dhambi, nguvu ambayo mtu huipata kwa njia ya kuokoka kumpa Bwana Yesu Kristo maisha yake, na kupokea kipawa cha Roho Mt. kitakachomuongoza maisha yake. ukifanya hivyo, hakika mtu akikuletea masuala ya kufanya uzinzi, utatamani kutapika, hutaki kabisa na unachukia dhambi pamoja na kwamba itakuwa inakujaribu mara kwa mara, haitakushinda.
hadi kuuliza swali hilik,watu wanajaribu kufikiri namna watakavyotulia na watu kwenye ndoa wasitoke nje, au wengine wanafikiri labda wale virgin men wanakuwa hawajui. hakuna mtu aliyezaliwa na elimu yoyote ile. kwanza wote mkiwa watu wa Mungu, mtafundishana na mtajikuta mmeenda vizuri tu na maisha yenu mazuri yanaendelea bila shaka. ila kama watu hamjaokoka, hakika nakwambia mtu anaweza akawa virgin man or woman akabambaruka akageuka akawa si kama ulivyomzania. okokeni wajameni.
ukimwi hauishi siku hizi, ni kwasababu kwa nguvu hizi za kawaida watu hawawezi kuushinda uzinzi. pamoja na kwamba ukimwi unaambukizwa na mambo mengine kama blood transfussion etc, lakini ukiwa kwa Mungu jamani utalindwa na yote hayo. hebu fikiri, unakuwa na mume ambaye hajaokoka na unajua wakati wowote anaweza kulala na mwanamke mwingine, au mume mlevi ambaye anaweza kulala na mtu yoyote ulevini, au mke mlevi, asiye na nguvu ya kushinda dhambi....usalama wenu uko wapi?
hapa mwenye akili, atarudi nyumbani atamwambia mkewe au mumewe wabadili maisha, waishi maisha ya kumfuata Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yao. kwasababu bila hivyo nakuambieni, hakuna usalama maishani mwenu.