Do Airplanes Reverse? Have Side Mirrors??

Unawasha ili kureverse kutoka kwenye passenger bay ili kupisha ndege nyingie, kisha una-taxi hadi kwenye lot nyingine kusubiri abiria at a later time ambapo utaizima. Sasa ni bora tu ulivute kuliko hiyo process.

Yaani umenidadavulia barabara sasa nimeelewa, basi mie nilidhani ndege itapotua kushusha abiria basi hapo hapo itasubiri kupakia Abiria wengine Bila kusogea. Kumbe hilo zoezi huwa linatokea pale ambapo anashusha abiria na mizigo wakati anasubiria abiria wa kuondoka nao anaenda sehemu ingine ili pale apishe ndege ingine ishushe abiria. Japo hii itatumika haswa kwenye viwanja ambavyo si vikubwa. Nadhani kwenye viwanja vikubwa ambapo kila dakika ndege inapaa na kutua kama Istanbul Airport watakuwa na sehemu nyingi bila kuhitaji ndege kupishana eneo la kushusha abiria.

Yaani niko so interested sijui ni kwasababu napenda kusafiri..... hata sijielewi.
 
Binafsi nilishawahi kushuhudia ndege ikiwa Imesimama Angani .
 
Hivo eeh, kiukweli sijawahi panda bombardier nilikuwa nakuta taswira ya madege makubwa kama za Emirates, KLM, British Airways je nazo zina side mirrors?
Hahaha Bombadier zetu ndio nazifahamu, special order waliomba ziwekewe side mirror.
 
Hahaha Bombadier zetu ndio nazifahamu, special order waliomba ziwekewe side mirror.

bombadia?nahisi zenyewe zina cha kuvutia tela la ndege. mbombadia zetu ni za uchumi wa kati.
ile mbombadia iloharibika preti krachi ilipona? yani ni tabu sana kupeleka ndege ikatengenezwe na mafundi wa kidongo chekundu.
 
bombadia?nahisi zenyewe zina cha kuvutia tela la ndege. mbombadia zetu ni za uchumi wa kati.
ile mbombadia iloharibika preti krachi ilipona? yani ni tabu sana kupeleka ndege ikatengenezwe na mafundi wa kidongo chekundu.

Aahahahahhahaa looh.
 
Unawasha ili kureverse kutoka kwenye passenger bay ili kupisha ndege nyingie, kisha una-taxi hadi kwenye lot nyingine kusubiri abiria at a later time ambapo utaizima. Sasa ni bora tu ulivute kuliko hiyo process.
Du, ndugu hili ni tango pori,kwa maelezo yako tokea mwanzo unapoteza watu, nina maswali kidogo,je ndege inashusha na kupakia wapi abiria? Je,ndege inapokuwa inapakia abiria hakuna majengo? Je, ndege ikakiribia runway rubani akapata taarifa kuwa kuna ndege nyingine inatua inazimwa au inakuwa silence? Je,nguvu ya injini huzidishwa wakati gani ikiwa imepaki au ikiwa runway
 
BOMBERDIER zinarudi nyuma na hii ni baadhi ya ndege za turboprop kwamaana huwa zile propeler zinauwezo wa kuchange direction sababu ili ndege iweze kwenda /drag lazima ivute upepo mwingi toka mbele kwenda nyuma kwakutumia zile propeler sasa jamii ya Bomberdier ziko zenye uwezo waku change direction ya propeler kuvuta upepo nyuma kupeleka mbele thus y inauwezo wakurudi
 
bombadia?nahisi zenyewe zina cha kuvutia tela la ndege. mbombadia zetu ni za uchumi wa kati.
ile mbombadia iloharibika preti krachi ilipona? yani ni tabu sana kupeleka ndege ikatengenezwe na mafundi wa kidongo chekundu.
Hahaha bombadier kama mwendokasi ni special order zile,kwasasa nilisikia ukitaka kuipanda ni kama uber, inakufuata ulipo. Nasikitika zitahamia chato april 2018.
 
Kasie wangu, kwanza nimefurahi sana kuona unauliza maswali ya aina hii, inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani.
Tukirudi kwenye swali lako. Kwa ufupi ni kwamba ndege inaweza kurudi nyuma, hasa zile kubwa zenye engine za jet.

Injini inapochoma mafuta, hewa hugandamizwa na kutolewa kwa msukumo mkubwa kurudi nyuma, msukumo huo huifanya ndege iende mbele.

Sasa pale inapotua, ndege hugeuza ile hewa kuelekea mbele lengo likiwa kuisaidia kupunguza mwendo ili isimame bila kwenda umbali mrefu (Ndio maana ndege ikitua, kelele huongezeka sana, injini hufunguka kuziba hewa iliyokua inaelekea nyuma ielekee mbele).

Kwa kutumia kanuni hiyo, inamaana kama kitendo hicho kitafanyika ndege ikiwa imesimama, itarudi nyuma. Lakini tatizo ni moja, itasababisha uharibifu mkubwa sana. Kumbuka ndege ikiegeshwa kwenye kushusha au kupakia abiria/mizigo, inakua karibu na majengo, magari na vitu vingine, ule upepo uliogandamizwa kwa nguvu ukielekea mbele kwa kasi utaleta madhara kwa kuwa sio sehem ya ndege kuruka au kutua ambayo inakua wazi (run way).

Kwa kuwa wewe ni msomi, google reverse thrust

 

Woow, thank you very much, tena nimeona shirika la ndege ninazozipendaga.......

Ubarikiwe Sam, nimeingiza siku na hakika umeniongezea hamasa ya kuanza kusoma fani mpya just for fun hehehehehee.
 
Hahaha!, nyie watu! 😀
Hahaha nasikia zinajengewa runway yake kama mwendokasi ndege zingine walie tu, halafu wameng'oa siti wamechomelea bomba za kushikilia wanajiandaa kwa mafuriko ya abiria, abiria mtasimama hakuna kukaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…