misimajumbasita
Senior Member
- Jun 10, 2018
- 157
- 272
Navutiwa nakupendezewa sana na Naibu wa spika akiwa anatumia ukurasa wake wa instagram kila inapo fika tarehe 17 basi hutumia ukurasa wake huo kumkumbuka Hayati Magufuli.
Pongezi sana kwako Naibu Spika nafikiri huko aliko Hayati Magufuli anafurahi namna viongozi na wananchi wake wanavyomkumbuka jinsi alivyotupigania alivyojitoa sadaka kwa watu masikini.
Tunamuombea kwa Mungu azidi kumpumzisha salama John Pombe Magufuli.