Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Kamanda Sangarara
Asante kwa kutambua mazingira halisi ya miundombinu ya mawasiliano hususan katika maeneo ya Kigoma, nasi tutajitahidi kuhakikisha hatukwazi kasi ya mapambano katika eneo hili bali tutapambana kuruka kihunzi hicho. Ushauri wako ni muhimu na umefika mkuu.
Hapa ni Kigadye, ambapo msafara wa Katibu Mkuu ulisimamishwa na wananchi walioziba njia wakitaka kumuona na kumsikiliza.
Moja ya Mapungufu yangu ni kwamba, toka nizaliwe sijawahi hata siku moja kulala kwenye nyumba ya matope na nyasi kama hizo zinazoonekana kwenye picha.
Maisha ya chini sana na ya kifukara niliyowahi kupitia na maisha ya kupanga nyumba, lakini bado nakichukia chama cha mapinduzi kwa chuki kuu sana.
Sipati picha hao ndugu zangu wanajisikiaje, au ni kwa vile hawajawahi kuonja hanasa kidogo.