Dkt. Slaa ziarani: Desemba 7, Kasulu Vijijni (Kitanga, Kigadye na Kwaga)

Kamanda Sangarara

Asante kwa kutambua mazingira halisi ya miundombinu ya mawasiliano hususan katika maeneo ya Kigoma, nasi tutajitahidi kuhakikisha hatukwazi kasi ya mapambano katika eneo hili bali tutapambana kuruka kihunzi hicho. Ushauri wako ni muhimu na umefika mkuu.

Hapa ni Kigadye, ambapo msafara wa Katibu Mkuu ulisimamishwa na wananchi walioziba njia wakitaka kumuona na kumsikiliza.

mkuu peleka picha hii juu kabisa, polen na kazi
 

Katibu Mkuu Dkt. Slaa amemaliza Kasulu Vijijini na leo atakuwa Kasulu mjini, ambapo atafanya mikutano miwili kama alivyopangiwa na chama wilaya na jimbo.

Akiwa Kasulu Vijijini, Dkt. Slaa alifanya mikutano miwili Kitanga na Kwanga, lakini pia msafara wake ukalazimika kusalimia na yeye kuhutubia wananchi wa Kijiji cha Kigadye, waliosimama na kufunga barabara kumzuia asipite hadi wamwone na kumsalimia, baada ya kusikia kuwa atapita maeneo hayo.

Akiwa Kitanga, Katibu Mkuu karibu atoe machozi aliposomewa takwimu na Mwenyekiti wa Wilaya ya Kasulu, jinsi wananchi wa Kasulu zote mbili, Vijijini na Mjini, walimpatia kura nyingi akimgaragaza kwa zaidi ya kura 20,000/ aliyekuwa mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete.

Kama ambavyo amefanya katika maeneo kadhaa, Dkt. Slaa aliwashukuru wananchi hao. Kisha akatumia nafasi hiyo kuwaeleza kuwa viongozi wao wa chama Kasulu na Kibondo ndiyo hasa waliomsukuma kufanya ziara ya Kigoma kwa sababu walikuwa wakimpigia simu na kumwandikia barua za umuhimu wa chama kufanya ziara mkoani humo na yeye kusikiliza kero za wananchi, hasa manyanyaso ya vyombo vya dola.



Hana jipya kwa sababu; 1. kwa level yake alipaswa kushughulika national huku akiwa amejenga misingi imara huku chini. Kwa yeye kujikita huko vijijini it means ameshindwa kujenga misingi imara. If the otherwise, why aanzie Kigoma?
2. Kupiga kambi Kasulu ina maana kwamba; (a) Anasiklizia upepo huko Kigoma mjini.
(b) Anahangaika na ushirikina ili aidha asidhurike au am output Zitto kwenye sakata lake.
(c) Anatafuta mbinu za kumcounter Zitto pale mjini.
(d) Ametambua kiwango cha hasira za watu wa Kigoma mjini juu ya uamuzi wa Kamati Kuu.More to come.
 
Sisi wanachadema tunamshukuru sana Dr Slaa kwa kuamua kufanya mikutano vijijini kabisa , tunasema hivi , wema wake hautapotea bure !
 
thread inaenda taratibu saana wakuda wa CCM na pro- CHADEMA wamekimbia mbali, wanaogopa kuzirai.
 
Hana jipya kwa sababu; 1. kwa level yake alipaswa kushughulika national huku akiwa amejenga misingi imara huku chini. Kwa yeye kujikita huko vijijini it means ameshindwa kujenga misingi imara. If the otherwise, why aanzie Kigoma?
2. Kupiga kambi Kasulu ina maana kwamba; (a) Anasiklizia upepo huko Kigoma mjini.
(b) Anahangaika na ushirikina ili aidha asidhurike au am output Zitto kwenye sakata lake.
(c) Anatafuta mbinu za kumcounter Zitto pale mjini.
(d) Ametambua kiwango cha hasira za watu wa Kigoma mjini juu ya uamuzi wa Kamati Kuu.More to come.

japo hoja zako ni mbovu lakini tunaheshimu uhuru wako wa kubwabwaja .
 
Hana jipya kwa sababu; 1. kwa level yake alipaswa kushughulika national huku akiwa amejenga misingi imara huku chini. Kwa yeye kujikita huko vijijini it means ameshindwa kujenga misingi imara. If the otherwise, why aanzie Kigoma?
2. Kupiga kambi Kasulu ina maana kwamba; (a) Anasiklizia upepo huko Kigoma mjini.
(b) Anahangaika na ushirikina ili aidha asidhurike au am output Zitto kwenye sakata lake.
(c) Anatafuta mbinu za kumcounter Zitto pale mjini.
(d) Ametambua kiwango cha hasira za watu wa Kigoma mjini juu ya uamuzi wa Kamati Kuu.More to come.

kuna kitabu cha kusadikika by shaaban robert kinapatikana kweli
 
Asanteni makamanda.... Jamaa sasa hivi wamefyata mkia na zile kauli zao kuwa CDM imekufa...
 
CC Sixgate, ritz, zemacopolo, Simiyu yetu,sumu,mucho 88 , Faiza, big show na wengineo mko wapi? njooni huku mjionee matunda ya kazi yenu.
 
Kuna mambo mawili nimeyaona.
1.Mahudhurio ni hafifu sana kiasi kwamba picha zinapigwa kiujanjaujanja hats kurugenzi ya habari inavyoripoti ni tofauti na matukio mengine.
2.Kwa ziara hii hakuna uimarishaji wa chama Bali ni kujitutumua kuficha aibu.
 
Hana jipya kwa sababu; 1. kwa level yake alipaswa kushughulika national huku akiwa amejenga misingi imara huku chini. Kwa yeye kujikita huko vijijini it means ameshindwa kujenga misingi imara. If the otherwise, why aanzie Kigoma?
2. Kupiga kambi Kasulu ina maana kwamba; (a) Anasiklizia upepo huko Kigoma mjini.
(b) Anahangaika na ushirikina ili aidha asidhurike au am output Zitto kwenye sakata lake.
(c) Anatafuta mbinu za kumcounter Zitto pale mjini.
(d) Ametambua kiwango cha hasira za watu wa Kigoma mjini juu ya uamuzi wa Kamati Kuu.More to come.

Sasa nimeamini kabisa Dr Slaa...ni tishio kubwa sana kwa mafisadi na majizi yote yaliyoko CCM!!

Waanza kukubali karatu vijijini....!! ndiko hasa kwenye wananchi na wanaoteswa na ufsadi wa kina JK!
 
Wananchi watulivu na wasikivu. Hamna fujo hata kidogo.

attachment.php




attachment.php

hawa ndo wale waha makini na wenye akili timamu, wenye uwezo wa kufanya maamuzi makini ktk mkoa na ndo hao waliotuletea wabunge wapya wanne makini wa upinzani.

ni watu wa kusikiliza na kutafakari .

achana na zile takataka za kule mwandiga na mjini za kibembe,kibwali sijui,kitongwe na wagoma sijui wote wakiwa ni mahamiaji haramu kutoka kongo na vurugu zao bila kuwa na mantiki kichwani.
wakurupukaji bila hoja.. badala ya kufuata misingi wao wamekazana kufuata watu..

hawajui kuwa watu wanatabia ya kubadika na pengine kufa.... sasa wakibdilika au pengine kufa sijui watafuata upepo?!!!

najua pia hapo mjini kg wapo waha wakutosha na hao ndio watakaokwenda kumsukiliza dr. na sera za chama pendwa.
lkn jamii ya zittoo hizo za kibembe zitakwenda kuleta fujo tu maana kwao nafasi ya ubongo kufikiri na kutafakari ilikwenda na mafuriko.
 
Kuna mambo mawili nimeyaona.
1.Mahudhurio ni hafifu sana kiasi kwamba picha zinapigwa kiujanjaujanja hats kurugenzi ya habari inavyoripoti ni tofauti na matukio mengine.
2.Kwa ziara hii hakuna uimarishaji wa chama Bali ni kujitutumua kuficha aibu.


Angalia katibu wa CCM idadi ya watu anaopata na mambo anayofanya akiwa vijijini!!

9.jpg
 
Back
Top Bottom