Dkt. Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?

Dkt. Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?

Dr. Slaa huyu mnafiki aliyewasaliti UKAWA mwaka 2015 ni wajinga tu ndio wanaoweza kumuamini na kumsikiliza.
 
Hi
Ujasiri wa Balozi Dr. Wilbroad Slaa unazua maswali yasokuwa na majibu jadidi.

Ujasiri usiyobembeleza teuzi.

Ujasiri usiyotafuta kufa kwenye chama kama nzi afavyo kwenye kidonda hata kilichooza.

Ujasiri unaompa kukaa kokote atapohitajika na umuhimu wake kuonekana na mchango wake kutambulika na kuheshimiwa.

Ujasiri usioogopa hasara pia, siyo tu ujasiri unaotafuta faida pekee.

Immunity ya kisiasa ya Balozi Dr. Slaa ni immunity kama ya nzi anayekula donda la saratani lakini yeye haugui saratani.

Balozi Dr. Slaa yuko CCM, amewahi kuwepo Chadema na aliwahi kuwepo CCM lakini vipindi vyote hivyo huko AMETUNZA WAKFU WAKE pasina kuingia kwenye ufisadi wa kichama na kisiasa.

Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo mwenye ufunguo wa Ikulu aliokabidhiwa na Kardinali Laurean Rugambwa; anaye Balozi Dr. Slaa kwenye waiting list ya watu watakaoongoza Tz huko tuendako.

Kila anapopita ana tabia ya kuacha rekodi nzuri na alama nzuri pia ya utendaji makini lakini akivurugwa vyote hivyo vinamfuata alipo. Tunakumbuka utendaji wake CCM, Karatu, CHADEMA, CCM.

Mteja yupi atanunua dhahabu hii msimu wa mnada unawadia 2025?
The Muzee anaenda peperusha bendera ya ACT wazalendo 2025
 
aanzishe chama chake au ahamie chama chenye kujielewa agombee atapata kura nyingi sana
shida ya taifa letu watu tumejaa usaliti ,kupenda fedha kuliko uzalendo,lakini pia unafiki ni mwingi sana ndani nya taifa letu.uoga pia ni changamoto kubwa sana
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]

Ni Dr. Slaa pekee kwa safu tunayoijua ambaye haogopi kuvikosoa hadharani serikali na chama chochote kile anachokuwepo.

Ikija kubidi huko tuendako kama nchi kwamba ili kuliokoa taifa kuangamia mtu unaunda chama alafu kiinteligensia/kinyemela unakiendesha kwa kuegemea dini/dhehebu alafu akatokea mtu mwenye kibali kisekula na kidini kama Dr. Slaa akaunda na kuendesha chama chenye mrengo huo and given the big population or quorum and the principlism that Catholics have in URT and beyond nawahakikishia Dr. Slaa anakuwa rais sekunde.

Anao uwezo wa kutumia ujasusi wa Vatican, Ireland, Italy na Scotland kudhibiti uwizi wa kura unaofanywa na CCM tangu 1995.

Nani amuuzie ideas hizi, kumchagiza, kumjengea ragba, kiu ya urais?

Wakati wa kampeni zilizompa kumshinda msoga 2010 kwenye kinyang'anyiro; alikuwa akipata siri kali (embargoed secrets na NDA Non Disclosure Agreement) na kuzitumia kwenye kampeni mpaka ikadhihiri mifumo ya serikali imetoboka... yet hakuna aliyethubutu kumgusa.

Vatican ina uwezo wa kum-back-up kupata chochote atakacho hata kilichoko sirini.

Huyu ndiye pekee anayeweza kudukua mfumo wa uwizi wa kura wa CCM.

Dr. Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
The fact kuwa alinunuliwa na kuhongwa ubalozi inampotezea credibility ya kuongea lolote nikamuelewa! . Ni kama malaya anaposema ameamua kujiuza kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu !! Siwezi muelewa .
Vipi kama mtu akiwaza kimoyomoyo kwamba Lowassa aliyemng'oa Dr. Slaa Chadema na kumleta na Sumaye (2 PMs) wamekifikisha wapi Chadema atakuwa anakosea?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ubalozi si alihongwa , hukuona clips zake akiwa na ccm lobbying team pale serena ambazo zilivujishwa na whistle blower. Uwezo mkubwa wa akili ni kujisahaulisha matukio yaliyopita na kuongea uongo?
Nadhani hata Nyerere alihongwa (alipewa) kuongoza Tanganyika wakati aliyestahili na kuandaliwa ni Kawawa ambaye ndiye alifahamika na kuwa na baraka na kibali cha wazee zaidi ya Nyerere. Wazee kama akina Dosa Aziz Ali, Jumbe Muhammad Tambaza, Mohamed Said, Kleist Sykes.

Musoma hakukuwa na vita vya kupinga ukoloni hivyo Nyerere hakujulikana kama Kawawa aliyezaliwa, aliyeishi na aliyesomea kwenye kanda zilizofanya vita na mkoloni na kumpa kujulikana na wazee mashuhuri, mashujaa na Ma-DC wa kikoloni.

Hii nitawaandikia makala yake siku nyingine, leo itoshe kujuwa kuwa kizazi hiki hakijui historia na historia haiepukiki ktk kui-shape nchi. Ndiyo maana watoto wa wakubwa wanapewa vyeo ili kuja kuwarithi baba zao, hiyo yote ni historia inazingatiwa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Slaa yupo smart. Ila kwangu mie namuona ni oppoturnist ambaye yupo tayari kutelekeza misimamo yake kama anapewa tangible offers . Siasa za Tanzania ilikuwa zipate u turn nzuri mwaka 2015 kama slaa asingezingua last minutes . It turned out, kumbe alihongwa. .
Alikuwa sahihi kusimamia msimamo wake mpaka mwisho, chadema ndo walipuyanga kukuna msimamo wao juu ya ufisadi
Na Hilo kosa liliwatafuna na linatawatafuna mpaka kesho wasipolitubia
Dr Slaa aliwaprove wrong mpaka leo ,waliempa nafasi ya kugombea urais 2015 asharudi alikotoka ,kuonyesha alivyokuwa apportunist
Hapa wakulaumiwa ni Chadema kubadili msimamo wake juu ufisadi ni aibu ambayo inamtesa mbowe mpaka kesho asipokiri Hilo kosa
 
The fact kuwa alinunuliwa na kuhongwa ubalozi inampotezea credibility ya kuongea lolote nikamuelewa! . Ni kama malaya anaposema ameamua kujiuza kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu !! Siwezi muelewa .
Chadema ndo inaonyesha ilinunuliwa na kutoa nafasi ya urais kwa mtu ambaye ilimnadi kama fisadi kwa miaka nane na kuwaaminisha wanachi ,
Dr slaa alibaki na msimamo wake mpaka Leo
Ubalozi sio cheo Cha kisiasa au chama hata ni nafasi ya kizalendo ya kuwakilisha taifa lako nje ndo maana hata viongozi wa kijeshi hupewa
Lowasa baada ya kukosa cheo aliondoka cdm na hii ilidhieisha wazi chadema walikosea sana
 
Ujasiri wa Balozi Dr. Wilbroad Slaa unazua maswali yasokuwa na majibu jadidi.

Ujasiri usiyobembeleza teuzi.

Ujasiri usiyotafuta kufa kwenye chama kama nzi afavyo kwenye kidonda hata kilichooza.

Ujasiri unaompa kukaa kokote atapohitajika na umuhimu wake kuonekana na mchango wake kutambulika na kuheshimiwa.

Ujasiri usioogopa hasara pia, siyo tu ujasiri unaotafuta faida pekee.

Immunity ya kisiasa ya Balozi Dr. Slaa ni immunity kama ya nzi anayekula donda la saratani lakini yeye haugui saratani.

Balozi Dr. Slaa yuko CCM, amewahi kuwepo Chadema na aliwahi kuwepo CCM lakini vipindi vyote hivyo huko AMETUNZA WAKFU WAKE pasina kuingia kwenye ufisadi wa kichama na kisiasa.

Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo mwenye ufunguo wa Ikulu aliokabidhiwa na Kardinali Laurean Rugambwa; anaye Balozi Dr. Slaa kwenye waiting list ya watu watakaoongoza Tz huko tuendako.

Kila anapopita ana tabia ya kuacha rekodi nzuri na alama nzuri pia ya utendaji makini lakini akivurugwa vyote hivyo vinamfuata alipo. Tunakumbuka utendaji wake CCM, Karatu, CHADEMA, CCM.

Mteja yupi atanunua dhahabu hii msimu wa mnada unawadia 2025?
Mteja ni WATANZANIA, WANANCHI wanaotambua kipaji alichojaliwa kinachoakisiwa na utendaji wake kila mahali na wakati anapohitajika, kama anavyohitajika kwa sasa.
 
Nadhani hata Nyerere alihongwa (alipewa) kuongoza Tanganyika wakati aliyestahili na kuandaliwa ni Kawawa ambaye ndiye alifahamika na kuwa na baraka na kibali cha wazee zaidi ya Nyerere. Wazee kama akina Dosa Aziz Ali, Jumbe Muhammad Tambaza, Mohamed Said, Kleist Sykes.

Musoma hakukuwa na vita vya kupinga ukoloni hivyo Nyerere hakujulikana kama Kawawa aliyezaliwa, aliyeishi na aliyesomea kwenye kanda zilizofanya vita na mkoloni na kumpa kujulikana na wazee mashuhuri, mashujaa na Ma-DC wa kikoloni.

Hii nitawaandikia makala yake siku nyingine, leo itoshe kujuwa kuwa kizazi hiki hakijui historia na historia haiepukiki ktk kui-shape nchi. Ndiyo maana watoto wa wakubwa wanapewa vyeo ili kuja kuwarithi baba zao, hiyo yote ni historia inazingatiwa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

, aliyegombea na kushinda nafasi uongozi wakati huo ni nyeree au kawawa ?
uwe mnaandika hoja kwa kutumia akili sio mihemko
 
Acha unafika mteja wake ni CCM full ubalozi, na kununulia akiwa UKAWA.
Inawezekana chadema ndo ilinunuliwa kipindi kile kwani ilimpa nafasi mtu waliyeaminisha watz kuwq ni fisadi ,
Hilo kosa linawqtafuna mpaka Leo
Ubalozi ni cheo cha kizalendo sio Cha chama Cha kisiasa
Dr Slaa Alibaki na msimamo wake
Leo lowasa na Gwajima aliyemsapot Yuko wapi
 
Agreed, Chadema msiache dhahabu hiyo Erythrocyte

Angalikuwa dhahabu hata ungaliandika hapa si unagaliiokota mwenyewe kimya kimya ; ukiona hivyo ujuwe ni dhahabu feki na haina thamani yoyote na akipewa leo ubalozi utamsikia kumsifu mama na kuunga mkono DP
 
" wanaomkosoa ndio wanaompenda, wanaomsifia ndio maadui " in somebody's voice.
 
Angalikuwa dhahabu hata ungaliandika hapa si unagaliiokota mwenyewe kimya kimya ; ukiona hivyo ujuwe ni dhahabu feki na haina thamani yoyote na akipewa leo ubalozi utamsikia kumsifu mama na kuunga mkono DP
MIMI NI PHILOSOPHER, NAANGALI ANAVYOJENGA HOJA. HAYA YA UBALOZI YANA FORUM YAKE. KATIKA KUJENGA HOJA YUKO VIZURI.
SAWA NA ZITO, ANAJUA KUJENGA HOJA VEMA KABISA. LAKINI LA BANDARI ANAUNGA JUHUDI ZA SAMIA KUIUZA TANGANYIKA, KWA KITU WAZI KABISA.
 
Nadhani hata Nyerere alihongwa (alipewa) kuongoza Tanganyika wakati aliyestahili na kuandaliwa ni Kawawa ambaye ndiye alifahamika na kuwa na baraka na kibali cha wazee zaidi ya Nyerere. Wazee kama akina Dosa Aziz Ali, Jumbe Muhammad Tambaza, Mohamed Said, Kleist Sykes.

Musoma hakukuwa na vita vya kupinga ukoloni hivyo Nyerere hakujulikana kama Kawawa aliyezaliwa, aliyeishi na aliyesomea kwenye kanda zilizofanya vita na mkoloni na kumpa kujulikana na wazee mashuhuri, mashujaa na Ma-DC wa kikoloni.

Hii nitawaandikia makala yake siku nyingine, leo itoshe kujuwa kuwa kizazi hiki hakijui historia na historia haiepukiki ktk kui-shape nchi. Ndiyo maana watoto wa wakubwa wanapewa vyeo ili kuja kuwarithi baba zao, hiyo yote ni historia inazingatiwa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
By then CV ya kawawa vs Nyerere na hao wazee uliowataja zilikuaje?Na kwa nini waliamua kumchukua mzanaki mshamba born town wakaachwa solemba?
 
uwe mnaandika hoja kwa kutumia akili sio mihemko
Nadhani rika lako na fani uliyosoma havikuku-expose kwenye utajiri wa historia ya nchi ambayo Nyerere alikwepa kui-document.

Kawawa alifahamika zaidi kuliko Nyerere ambaye ilibidi kwanza kufanyike kazi kubwa ya kumnadi (atambulishwe) nchi nzima kwa Machifu kumkubali kabla ya kuchaguliwa kwenda kuhutubia UNO kwa kipawa cha akili yake kuliko Kawawa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
MIMI NI PHILOSOPHER, NAANGALI ANAVYOJENGA HOJA. HAYA YA UBALOZI YANA FORUM YAKE. KATIKA KUJENGA HOJA YUKO VIZURI.
SAWA NA ZITO, ANAJUA KUJENGA HOJA VEMA KABISA. LAKINI LA BANDARI ANAUNGA JUHUDI ZA SAMIA KUIUZA TANGANYIKA, KWA KITU WAZI KABISA.
Zitto anasumbuliwa na udini sana bora Lipumba uanazuoni wake unamdhibiti kutozama deep kwenye udini. Zitto angekuwa Mkristo ACT Wazalendo isingekubalika kirahisi Znz kama mungu Maalim aliyemiliki siasa za upinzani za Znz hasingemridhia.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom