Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Ujasiri wa Balozi Dr. Wilbroad Slaa unazua maswali yasokuwa na majibu jadidi.
Ujasiri usiyobembeleza teuzi.
Ujasiri usiyotafuta kufa kwenye chama kama nzi afavyo kwenye kidonda hata kilichooza.
Ujasiri unaompa kukaa kokote atapohitajika na umuhimu wake kuonekana na mchango wake kutambulika na kuheshimiwa.
Ujasiri usioogopa hasara pia, siyo tu ujasiri unaotafuta faida pekee.
Immunity ya kisiasa ya Balozi Dr. Slaa ni immunity kama ya nzi anayekula donda la saratani lakini yeye haugui saratani.
Balozi Dr. Slaa yuko CCM, amewahi kuwepo CHADEMA na aliwahi kuwepo CCM lakini vipindi vyote hivyo huko AMETUNZA WAKFU WAKE pasina kuingia kwenye ufisadi wa kichama na kisiasa.
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo mwenye ufunguo wa Ikulu aliokabidhiwa na Kardinali Laurean Rugambwa; anaye Balozi Dr. Slaa kwenye waiting list ya watu watakaoongoza Tz huko tuendako.
Kila anapopita ana tabia ya kuacha rekodi nzuri na alama nzuri pia ya utendaji makini lakini akivurugwa vyote hivyo vinamfuata alipo. Tunakumbuka utendaji wake CCM, Karatu, CHADEMA, CCM.
Mteja yupi atanunua dhahabu hii msimu wa mnada unawadia 2025?
Ujasiri usiyobembeleza teuzi.
Ujasiri usiyotafuta kufa kwenye chama kama nzi afavyo kwenye kidonda hata kilichooza.
Ujasiri unaompa kukaa kokote atapohitajika na umuhimu wake kuonekana na mchango wake kutambulika na kuheshimiwa.
Ujasiri usioogopa hasara pia, siyo tu ujasiri unaotafuta faida pekee.
Immunity ya kisiasa ya Balozi Dr. Slaa ni immunity kama ya nzi anayekula donda la saratani lakini yeye haugui saratani.
Balozi Dr. Slaa yuko CCM, amewahi kuwepo CHADEMA na aliwahi kuwepo CCM lakini vipindi vyote hivyo huko AMETUNZA WAKFU WAKE pasina kuingia kwenye ufisadi wa kichama na kisiasa.
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo mwenye ufunguo wa Ikulu aliokabidhiwa na Kardinali Laurean Rugambwa; anaye Balozi Dr. Slaa kwenye waiting list ya watu watakaoongoza Tz huko tuendako.
Kila anapopita ana tabia ya kuacha rekodi nzuri na alama nzuri pia ya utendaji makini lakini akivurugwa vyote hivyo vinamfuata alipo. Tunakumbuka utendaji wake CCM, Karatu, CHADEMA, CCM.
Mteja yupi atanunua dhahabu hii msimu wa mnada unawadia 2025?
