Fala huyo, siyo mikataba 17 ni 37.Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.
Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,
“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”
“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”
Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.
Mwembeyanga List of Shame.
1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mikataba mingine ya kuuziana kachori na tende mtajuana wenyewe na waarabu wenu sisi tunacho hoji ni mikataba ya kuuza maliasili za nchi.Fala huyo, siyo mikataba 17 ni 37.
Lowasa aliendelea kuwa Waziri Mkuu? Hujui Rostam alijiuzulu ubunge,Usiniambie? Kiliwakuta nini maana bado nawaona na nguvu zao zilezile!
Wewe unafahamu maana ya maliasili au unakurupuka tu?Mikataba mingine ya kuuziana kachori mtajuana wenyewe na waarabu wenu sisi tunacho hoji ni mikataba ya kuuza maliasili za nchi.
Wewe mgazija ndio unafahamu zaidi.Wewe unafahamu maana ya maliasili au unakurupuka tu?
Mali asili hiyo unayoikalia.Wewe mgazija ndio unafahamu zaidi.
Bado kidogo ndoano mtaitema tu halafu utapotea kama enzi za Magu.Mali asili hiyo unayoikalia.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Bado kidogo ndoano mtaitema tu halafu utapotea kama enzi za Magu.
HIVI BALALI ALKUFA KWELI AU MCHONGO?Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.
Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,
“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”
“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”
Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.
Mwembeyanga List of Shame.
1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.
Lowassa baada ya hapo akawa Mgombea Urais kupiyia Chadema! Ahahahahaha!!! Rostam leo ndio anawalaza nje na DP World na Bandari ahahahahaha!!!Lowasa aliendelea Waziri Mkuu? Hujui Rostam alijiuzulu ubunge,
Andaa na wewe mkutano ukawatajeKabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Na kweli...Kabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Lkn huyu Padri kwa aliyofanya hana haya ht kidogo.Kabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Umetaka nikueleze kilichowakuta baada ya list of shame nimekuonyesha hayo maelezo mengine ya leo wako wapi hayanihusu.Lowassa baada ya hapo akawa Mgombea Urais kupiyia Chadema! Ahahahahaha!!! Rostam leo ndio anawalaza nje na DP World na Bandari ahahahahaha!!!
Na yeye aweke ushahidi, sio kutaja tu.Kama una uhakika alihongwa wewe taja na yeye atawataja walionyuma ya mkataba kwa upande wake.
Anahangaika kujaribu kurudisha jina lakeHuyu Dr Slaa sasa hivi ana mishe gani? Sijawahi kuona impact yake kwa TZ labda huko Uchagani.
Mambo binafsi mtu kusaliti chama tena kipindi ha uchaguzi!!?Mkuu, jielekeze kwenye mambo yenye infect kwa nchi, sio kuleta umbeaumbea na mambo binafsi ya mtu.
Yaani seriously mnamtegemea huyo Padri awapiganie wajukuu zenu!Hiyo zilipendwa we bwege Acha watu wapiganie nchi Yao Kwa faida ya wajukuu wako