dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,143
- 49,418
... Jesus mwondoe kwenye hiyo list tafadhali. Kufa kwake ni kwa sababu alikuwa amekamilisha kazi iliyomleta duniani, and in fact kifo chake ni sehemu ya ukamilifu wa kazi ile adhimu. Hakuna mwanadamu mwingine yeyote wa sifa hizo.Yesu Kristu alifariki na miaka 33.
Martin Luther King Jr. alifariki na miaka 39, Malcom X alifariki na miaka 39.
Rais John F. Kennedy alifariki na miaka 46.
Mtume Mohammad S.A.W. alifariki na miaka 61-62.
Bila shaka hawa wote walikuwa na visokorokwinyo!!!