Dkt. Salim Ahmed Salim atimiza umri wa miaka 80. Mungu mpe maisha marefu

Yesu Kristu alifariki na miaka 33.

Martin Luther King Jr. alifariki na miaka 39, Malcom X alifariki na miaka 39.

Rais John F. Kennedy alifariki na miaka 46.

Mtume Mohammad S.A.W. alifariki na miaka 61-62.

Bila shaka hawa wote walikuwa na visokorokwinyo!!!
... Jesus mwondoe kwenye hiyo list tafadhali. Kufa kwake ni kwa sababu alikuwa amekamilisha kazi iliyomleta duniani, and in fact kifo chake ni sehemu ya ukamilifu wa kazi ile adhimu. Hakuna mwanadamu mwingine yeyote wa sifa hizo.
 
Yeye ni kama wazee wengine tu, HBD kwa wazee wote mliotimiza miaka 80 leo hii kwa mchango wenu chanya katika ujenzi wa taifa hili.
 
Akiangalia hiyo picha juu ya keki yake alivyokua kijana mwenye nguvu ss hv yupo kwnye wheel chair daaah 🥲🥲🥲
 
Huyu ndiye aliyeambiwa 'mtoto wa nyoka ni nyoka' na wenye uroho wa madaraka.
 
Happy birthday world class diplomat and statesman Dr Salim Ahmed Salim. A brilliant person, true pan africanist, patriot and loyal to his country. May the Almighty keep his eyes on you and the well being of your health. I am glad I was lucky to have shaken hands with you in 90s when you were The Secretary General of the then Organisation of African unity. Remain blessed and again happy birthday Sir. You made history for Tanzania and Africa as a whole.
 
View attachment 2092782

Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.

Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.

FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
He is so frail and unrecognizable. Binadamu kweli tumeumbwa tofauti. Mzee Ruksa ana karibia bati lakini ukimuona.

Happy birthday!
 
... Jesus mwondoe kwenye hiyo list tafadhali. Kufa kwake ni kwa sababu alikuwa amekamilisha kazi iliyomleta duniani, and in fact kifo chake ni sehemu ya ukamilifu wa kazi ile adhimu. Hakuna mwanadamu mwingine yeyote wa sifa hizo.
Uzi unazungumzia umri na sio mission.
 
View attachment 2092782

Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.

Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.

FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Contradictions !! Mbona wengine wanasema watu wema hawaishi sana !! Salaalee ! Kila mtu aamini kivyake vyake !!
 
View attachment 2092782

Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.

Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.

FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Miaka 80 yupo kwenye wheel chair? Anaumwa nini? Hana afya nzuri, pole yake.
 
Dr Salim aliwauzi sana Wamarekani alivyoshangilia China kupigiwa kura UN mwaka 1971 mpaka Ronald Reagan akawakashifu Waafrika


 
Jabali Jasusi la Kimataifa lenye Tija lililo tikisa Africa na Dunia

Hili liliandaliwa na Julius kuongoza Dunia na kuiweka Africa frontline katika uso wa Dunia

Long life....
 
Back
Top Bottom