Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Ipyana malelela yupo wapi Leo. Huyu ipyana aligombea iliwahi gombea na nchimbi UVCCM na Nchimbi yupo wapi Leo
Kihongosi na happy kuweni Makini
Jamaa ni mtu hatari sana huyu
Ipyana ni kiluga chako cha kabila gani?

Ni habari gani uliyolenga kutuhabarisha wana jamvi?
 
Kwa keli ilikiwa mstukonkwa wengi.
RIP Mdogo wangu Ipyana.
Na du umekumbushia na kaka yake Le Mutuz, aliyekuwa anamkoma nyangi kwa giledi.
RIP Willy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…