Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,538
Mwendazake alikuwa na hulka fulani hivi za kishamba na kimaskini. Watu wa hivyo mara zote wanakuwa na utajiri wa choyo, fitina, chuki, makasiriko, wivu, visasi na hasira dhidi ya yeyote aliyetumia vizuri akili yake.Sijaona ubaya wa kuruhusu bureau de change, tatizo lenu mwendazake aliwalisha sumu sana kwamba burea de change ni mbaya
Bureau de change kama zilivyo shughuli zingine za kiuchumi zinatakiwa zielekezwe kwenye mkondo rasmi wa kisheria na si makasiriko au amri za mtu mmoja!