Dkt. Mwigulu Nchemba, sera hizi zitakuangusha kisiasa - teta na Rais au jiuzulu

Sijaona ubaya wa kuruhusu bureau de change, tatizo lenu mwendazake aliwalisha sumu sana kwamba burea de change ni mbaya
Mwendazake alikuwa na hulka fulani hivi za kishamba na kimaskini. Watu wa hivyo mara zote wanakuwa na utajiri wa choyo, fitina, chuki, makasiriko, wivu, visasi na hasira dhidi ya yeyote aliyetumia vizuri akili yake.
Bureau de change kama zilivyo shughuli zingine za kiuchumi zinatakiwa zielekezwe kwenye mkondo rasmi wa kisheria na si makasiriko au amri za mtu mmoja!
 
Mwendazake alikuwa na hulka fulani hivi za kishamba na kimaskini. Watu wa hivyo mara zote wanakuwa na utajiri wa choyo, fitina, chuki, makasiriko, wivu, visasi na hasira dhidi ya yeyote aliyetumia vizuri akili yake.
Bureau de change kama zilivyo shughuli zingine za kiuchumi zinatakiwa zielekezwe kwenye mkondo rasmi wa kisheria na si makasiriko au amri za mtu mmoja!
Yap ndo mana kuna regulator.. ni ushamba tu wa baadhi ya watu kudhani bureau ni mbaya
 
Ndugu zangu,

Mdogo wangu Mwigulu Nchemba umetegwa na umetegeka. Kuna sera za masuala ya fedha ambazo katu mtu makini hawezi kufanya wewe unafanya ili upate umaarufu na sio kwa maslahi ya nchi. Kuna kundi limekuzingira linahitaji yafuatayo ambayo na wewe umeingia mkenge;

Umepewa mtego kuwa na mamlaka ya kufuta Kodi kama waziri wa fedha; walio nyuma ya ajenda hii wakishanufaika wewe utatolewa kafara na "narratives" zitatengenezwa ili uongekane hufai kwa chochote kile. Mawaziri wa fedha waliowahi kuwa na nguvu hii waliangushwa kwa aibu.

Sasa umejiingiza kwenye mkenge wa "watakatishaji pesa" kupitia bureaux de change. Nimekuona unazungza lakini uso wako hauna furaha kabisa.

Kama ni shinikizo jiuzulu ili historia ije kujitetea laa sivyo hiza nene mbeleni. Teta na Rais au jiuzulu mapema.
Huyu madilu anajibainisha kama mchumi ila uwaziri wa fedha utamuaibisha. Huko bureau de change sijui kazifanya nini. Jpm alizitight kwenye mabenki tu na sehemu chache..tena inafaa ziwe za mabenki tu. Madilu akilikoroga hapo itabidi alinywe tembo.
 
Back
Top Bottom