johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,134
Akichambua Ripoti ya CAG, Dr Msukuma Mbunge wa Geita vijijini amemlaumu Godwin Kunambi aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa kutekeleza miradi inayoleta hasara.
Dkt. Msukuma amesema Ujenzi wa Hotel ya nyota 5 ni ubabaishaji mtupu.
Ujenzi wa Soko la Ndugai hauna tija na Fedha iliyowekezwa pale haitarudi.
Ujenzi wa Stendi za Mabasi ya mikoani ni ufisadi mtupu ukiondoa chache za miji mikubwa amesema Msukuma
Kuna haja gani ya Law School kuwepo wakati katika Wanafunzi 700 wanayofanya mtihani kila Mwaka wanafaulu 26 tu amehoji Dokta.
Inawezekana CAG naye huwa anapokea mlungula kwa sababu ziko Halmashauri bobezi kwa ufisadi lakini zimepewa Hati Safi, amesisitiza Daktari wa Heshima
Mwisho Dkt. Msukuma ameshauri utaratibu wa kuwapata Wakurugenzi wa Halmashauri ubadilishwe badala ya kuteuliwa wawe wanaomba kazi kwa kushindanishwa.
Chanzo: TBC
Dkt. Msukuma amesema Ujenzi wa Hotel ya nyota 5 ni ubabaishaji mtupu.
Ujenzi wa Soko la Ndugai hauna tija na Fedha iliyowekezwa pale haitarudi.
Ujenzi wa Stendi za Mabasi ya mikoani ni ufisadi mtupu ukiondoa chache za miji mikubwa amesema Msukuma
Kuna haja gani ya Law School kuwepo wakati katika Wanafunzi 700 wanayofanya mtihani kila Mwaka wanafaulu 26 tu amehoji Dokta.
Inawezekana CAG naye huwa anapokea mlungula kwa sababu ziko Halmashauri bobezi kwa ufisadi lakini zimepewa Hati Safi, amesisitiza Daktari wa Heshima
Mwisho Dkt. Msukuma ameshauri utaratibu wa kuwapata Wakurugenzi wa Halmashauri ubadilishwe badala ya kuteuliwa wawe wanaomba kazi kwa kushindanishwa.
Chanzo: TBC