Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.
Je umejipangaje ? Maana watu wana hasira hawajui pakuzitolea, pengine zinaweza kutolewa kwa mtu adiyesahihi namaanisha kwako kwa kushambuliwa kwa maneno
Watasahau kabisa kuwa umetoka msibani vatcan juzi tu
Hata kwenye MAUAJI ya KIBAO. (RIP) raisi alilaani. Badae akasema kifo ni kifo.
Hata aliposhambuliwa TAL magufuli alilaani vikali.
Mpaka leo nini kimetokea???
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.
Kichwa kina laani mkono kufanya shambulio , hivi hakunaga vikao vya ndani kujadili haya maswala kabla hayajayokea ? Ama ndyo mifumo haisomani au ni muendelezio wa tamthilia kwenye uwanja wa sinema
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameagiza kuundwa kwa timu maalumu kushughulikia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya Jimbo Katoliki la Morogoro na Chuo cha Aderm, akitaka suala hilo litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
Dk Mpango ametoa agizo hilo leo, Jumapili Mei 4, 2025, katika hafla ya kumsimika Askofu wa kwanza wa Jimbo la Bagamoyo. Ambapo amemuelekeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, kuunda timu hiyo kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara yake, Wizara ya Ardhi, Ofisi ya Rais Tamisemi na Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
"Timu hiyo ikae mezani na kanisa, kisha iwasilishe mapendekezo serikalini mara moja kwa ajili ya uamuzi," amesema.