Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,412
- 11,758
Tatizo hapa pia wanatengeneza mazingira ya rushwa
Unakuta mtu kashaongea na kampuni ya kuwapa hii tenda mnaanza kutulegeza ila mpige mabilioni
Kipindi Cha lugumi si mlisema serikali imetoa hela vituo vyote vifungwe machine za finger prints nchini, mliishia wapi?
Unakuta mtu kashaongea na kampuni ya kuwapa hii tenda mnaanza kutulegeza ila mpige mabilioni
Kipindi Cha lugumi si mlisema serikali imetoa hela vituo vyote vifungwe machine za finger prints nchini, mliishia wapi?