Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,541
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya inaeleza kwamba Dkt. Liberate Mleoh alipata ajali akitokea Mkoani Songwe kwenye Mazishi ya Ofisa mwingine wa Wizara hiyo.
Namfahamu Marehemu, alikuwa Mtu Mwema, namuomba Mungu aipokee Roho yake, Amina!
Namfahamu Marehemu, alikuwa Mtu Mwema, namuomba Mungu aipokee Roho yake, Amina!