Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,539
- 284,029
- Thread starter
- #41
Mara uzi ushageuka na kuwa wa Chadema!CHADEMA wana matatizo sana. Wanaleta siasa hadi kwenye misiba
Mara uzi ushageuka na kuwa wa Chadema!CHADEMA wana matatizo sana. Wanaleta siasa hadi kwenye misiba
Hawajui walitendalo!CHADEMA wana matatizo sana. Wanaleta siasa hadi kwenye misiba
Hiyo njia ina shida gani maana kuna hii 👇 ajali inatajwa kutokea njia ya MbeyaTaarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya inaeleza kwamba Dkt. Liberate Mleoh alipata ajali akitokea Mkoani Songwe kwenye Mazishi ya Ofisa mwingine wa Wizara hiyo.
Namfahamu Marehemu, alikuwa Mtu Mwema, namuomba Mungu aipokee Roho yake, Amina!