Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
hoja inamhusu Halima Mdee ikija hoja ya ccm nao tutawazungumzia
Ebo kwahiyo utaki kusikia kwamba Lowassa alijinyea haaaa haaaa
hoja inamhusu Halima Mdee ikija hoja ya ccm nao tutawazungumzia
Ni mahakamani kwa Hakimu Mkazi. Wote walikuwepo hapo kwa ajili ya kesi ya uchochezi inayowakabili.
What say you? Fair or foul for Mdee to refuse to shake Mashinji’s hand?
Ni mahakamani kwa Hakimu Mkazi. Wote walikuwepo hapo kwa ajili ya kesi ya uchochezi inayowakabili.
What say you? Fair or foul for Mdee to refuse to shake Mashinji’s hand?
Handshake, is it compasory at these times of corona? Absolutely no. Usije ukathubutu kunipa mkono nitakushushua.
Will you shake hands with someone who cheat with your wife?? That's three faced... So Mdee's is two, got it!!What’s two-faced about shaking someone’s hand?
Alipokuwa anasema msaliti anatakiwa kuuawa na siku hio hio Tundu akapopolewa na risasi za kutosha
only because she is afraid of COVID-19 + Ebola, nothing she hesitated!Ni mahakamani kwa Hakimu Mkazi. Wote walikuwepo hapo kwa ajili ya kesi ya uchochezi inayowakabili.
What say you? Fair or foul for Mdee to refuse to shake Mashinji’s hand?
Awkward: Nancy Pelosi alikataa kumpa mkono Donald Trump.
Kutompa mtu mkono in public ni ishara tu ya kutokukubaliana kimtazamo. Inaruhusiwa.
Ndio maana sometimes huwa kuna handshake kinyume chake ni sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe alimpa? Hapo Mdee chadema ka score kishenzi atakaa seat ya mbele na mkuuWhat’s two-faced about shaking someone’s hand?
Nancy naye akaichana hotuba ya Trump! Tit for tat.Haina shida kama mtu mnapjngana ideas na mtazamo hata Donald Trump alikataa mkono wa Nancy wakati wa the Union speech.
ulitaka amsalimie hili zwazwa la lumumba kwani lazimaNi utoto tu kaufanya... Na hiyo haimpunguzii mtu chochote
Wakili kumtema mashinji kwenye utetezi hapo ndio ujue chadema ni kikundi tu kama freemason na sio chama cha siasa cha kidemokrasia. Ndio maana hawaendi kwa logic ila kwa hisia za kiongozi mwenye kupokea maelezo kwa mabeberuAliyekuwa katibu mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji alivyoingia mahakamani Kisutu leo, Mbunge Halima Mdee akataa kumsalimia.
Mashinji na viongozi nane wa Chadema wanakabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kula njama, kufanya mikusanyiko na maandamano yasiyo halali na ya uchochezi wa uasi.
Update:
Wakati huohuo wakili John Mallya amejitoa kumtetea mshtakiwa namba 6 Dr Mashinji.
Credit :Mwananchi official
Soma: News Alert: - Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM
View attachment 1368151
Nan kasema ni lazima?ulitaka amsalimie hili zwazwa la lumumba kwani lazima
Mdee anawivu sana
Tujulisheni faida za Maalim seif kumnyima Rais shein mkono